BILLNAS akana tuhuma za kubebwa kimuziki

BILLNAS akana tuhuma za kubebwa kimuziki

Beira Boy

JF-Expert Member
Joined
Aug 7, 2016
Posts
19,976
Reaction score
32,195
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana

Husika na kichwa cha habar hapo juu

Mkali anaye sumbua kunako game ya mziki na ngoma kali inayo kwenda kwa jina la sina jambo amekana vikal tuhuma za kubebwa na kudai kuwa yeye hajawahi kubebwa na hatakuja kubebwa bali ngoma zake ndo kali na zinazikilizwa na kila mtu

Kadai mtu anayesema yeye anabebwa inabidi apimwe akili maana yeye hajawahi bebwa

nengaaaaaaaa.jpeg


LONDON BABY

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Capital FM .dj show lazima wampe promo
 
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana

Husika na kichwa cha habar hapo juu

Mkali anaye sumbua kunako game ya mziki na ngoma kali inayo kwenda kwa jina la sina jambo amekana vikal tuhuma za kubebwa na kudai kuwa yeye hajawahi kubebwa na hatakuja kubebwa bali ngoma zake ndo kali na zinazikilizwa na kila mtu

Kadai mtu anayesema yeye anabebwa inabidi apimwe akili maana yeye hajawahi bebwa

View attachment 582274

LONDON BABY

Sent using Jamii Forums mobile app
HANA JIPYA
 
Nasikia kaziba pengo la Godzilla according to Ney wa mitego
 
chambeni ote ila nenga wangu mumuache......mzungu mzee[emoji104][emoji104]...

the guy yuko vizuri,ligi ndogo,raha aliyoshirikishwa,chafu pozi,mazoea,sina jambo...

na kune kushirikishwa hua anaumiza vibaya
 
Back
Top Bottom