Bilnas adai nand ndo mke wake mtarajiwa

Beira Boy

JF-Expert Member
Joined
Aug 7, 2016
Posts
19,976
Reaction score
32,195
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana

Husika na kichwa cha habar hapo juu


Yule rapa mkali anayetamba na ngoma ya sina jambo ameweza kukata mzizi wa fitina juu ya uvumi ambao umezagaa kitaa wa kwamba anatoka na msichana msanii mwenzie ajulikanaye kwa jina la nand anayetamba na ngoma ya wasikudanganye


Rapa huyo mkali ambaye hajawah kushuka kunako game aliyasema hayo alipokuwa akipiga mastory na global

Bilnas kadai nandy ndo mwanamke wa pekee kwake ambaye ana vigezo vya kuwa mke wake kwa asilimia sitini


bilinas

nand

LONDON BABY
 
Ila hawa mastaa bwana sasa alivyokua anabisha visha ili iweje sasa.
 
Huyu bill nayemjua mie au mwingine sawa basi
 
Acha zako una ukali gan mkuu. Afu siku hiz huonekan mshikaji wangu
Haha, nipo mzee baba. Mwanang sema tu enzi zangu za usanii nlikua naachia ngoma online tu sikutaka mambo ya radio stations ila ni mkali kinoma
 
Haha, nipo mzee baba. Mwanang sema tu enzi zangu za usanii nlikua naachia ngoma online tu sikutaka mambo ya radio stations ila ni mkali kinoma
Poa poa mwanao NANYUPU hapa nilibadilisha jina
 
Weka source/ link.

Habari ya kikanjanja...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…