Bima kubwa ya Gari: Je, ni jinsi gani ya kupiga mahesabu ya total loss?

Bima kubwa ya Gari: Je, ni jinsi gani ya kupiga mahesabu ya total loss?

Mhandisi Mzalendo

JF-Expert Member
Joined
Aug 23, 2010
Posts
6,682
Reaction score
11,461
Habari wana Jamvi.

Nina swali kwenu. Mfano umekatia gari yako bima kubwa (premium) ambayo wakati wa kukatia bima ilithaminishwa kwa gharama ya 12m. Hapa gari yako ushakaa nayo miaka mitatu.

Je, unapopata ajali na wakaithaminisha kama total loss? Thamani ya gari itakua ipi? Na wanacalculate vipi? (Kama utataka kulipwa hela na kuachana na Salvage)

Mfano: Je wakati wanaifanyia tathmini watachukua thamani ya gari wakati unakatia bima yani 12m na kutoa gharama nyingine au wata angalia uchakavu wa ile miaka mitatu?

NB: Wakati unaingiza gari thamani yake ilikua 18m. Ila 3 years later walipokatia bima ikawekwa kwa thamani ya 12m.

Extrovert RRONDO na member wengine wenye ujuzi wa bima kubwa.
 
Najua kidogo sana kwamba, kadiri miaka inavyoenda thamani ya gari inapungua,wanaita,depreciation, inaweza fika umepata ajali na unabima kubwa lakini hupewi gari mpya, unapewa cash kidogo tu, ngoja wataalam waje.
 
najua kidogo sana kwamba,kadiri miaka inavyoenda thamani ya gari inapungua,wanaita,depreciation,,inaweza fika umepata ajali na unabima kubwa lakini hupewi gari mpya,unapewa cash kidogo tu,ngoja wataalam waje...
Sure!!
Lakini swali langu je depreciation inafanywa kabla ya ajali au baada? Yano kabla ya kukata bima au baada ya kukata bima???
 
Depreciation inabid ifanywe wakat unakatia gari kwa ajili ya kupata bima kubwa na baada ya ajali.....mind you unaweza katia bima leo after miez mitatu ukala mzinga wa wright off so lazima ipigwe tena depreciation ya ile miez mitatu km walishapiga mwanzon wakat unakatia bima.
 
Depreciation inabid ifanywe wakat unakatia gari kwa ajili ya kupata bima kubwa na baada ya ajali.....mind you unaweza katia bima leo after miez mitatu ukala mzinga wa wright off so lazima ipigwe tena depreciation ya ile miez mitatu km walishapiga mwanzon wakat unakatia bima.
Okay asante kwa ufafanuzi.

So wanatakiwa ku consider ile miezi mitatu ya depreciation tu.
 
Labda kukusaidia mkuu wakati wa valuationa wanachukua thamani ya hio gari husika wakati wa ajali mfano umekatia hio 12m lakini kuna muda ushuru wa magari ulipanda labda imekua 14m wanafanya valuation ya kuanzia sasa hivi
14,000,000 depreciation ya gari yenye miaka 3 ni 20% kwaio unafanya 14,000,000x20% = 11,200,000 tshs
 
Labda kukusaidia mkuu wakati wa valuationa wanachukua thamani ya hio gari husika wakati wa ajali mfano umekatia hio 12m lakini kuna muda ushuru wa magari ulipanda labda imekua 14m wanafanya valuation ya kuanzia sasa hivi
14,000,000 depreciation ya gari yenye miaka 3 ni 20% kwaio unafanya 14,000,000x20% = 11,200,000 tshs
Why wachukue depreciation ya miaka mitatu wakati gari nimekata bima mwaka huu.

Mfano: Wakati gari linaingia miaka mitatu nyuma lilikua 18m.

Mwaka huu nilivyoenda kukata bima wakasema lisha depreciate wakaweka thamani ya gari 14m. Sasa why likipata ajali wahesabu tena miaka ya nyuma. Why wasichukue hiyo 14 tu na kupiga mahesabu mengine bila kufanya depreciation?
 
bima ni kwa mwaka mmoja,ukienda kukata wanafanya kabisa depreciation,mimi nilikuwa na pikipiki ya tvs,ilivyokuwa mpya nilinunua sh 1.6m,ilipopita miaka kadhaa nikaamua kukata bima kubwa,walikadiria thamani ya pikipiki kwa wakati huo ni sh 900,000/=,ina maana hata ningepata ajali,nisingepewa nyingine mpya..
 
bima ni kwa mwaka mmoja,ukienda kukata wanafanya kabisa depreciation,mimi nilikuwa na pikipiki ya tvs,ilivyokuwa mpya nilinunua sh 1.6m,ilipopita miaka kadhaa nikaamua kukata bima kubwa,walikadiria thamani ya pikipiki kwa wakati huo ni sh 900,000/=,ina maana hata ningepata ajali,nisingepewa nyingine mpya..
Hapa nimekuelewa sana mkuu.

So ungelipwa kutokana na hiyo laki 9 ambayo uliikatia bima.
 
Why wachukue depreciation ya miaka mitatu wakati gari nimekata bima mwaka huu.

Mfano: Wakati gari linaingia miaka mitatu nyuma lilikua 18m.

Mwaka huu nilivyoenda kukata bima wakasema lisha depreciate wakaweka thamani ya gari 14m. Sasa why likipata ajali wahesabu tena miaka ya nyuma. Why wasichukue hiyo 14 tu na kupiga mahesabu mengine bila kufanya depreciation?
Depreciation inachukuliwa tangu gari lilivyokua first registered mkuu kwaio wanasoma kwenye kadi ya gari lilikua registered tumia hio attachment kama reference ya depreciation rate

20210614_185819.jpg
 
Depreciation inachukuliwa tangu gari lilivyokua first registered mkuu kwaio wanasoma kwenye kadi ya gari lilikua registered tumia hio attachment kama reference ya depreciation rate

View attachment 1818756
Okay asante.
So thamani ya gari itakayopigiwa depreciation ni ile uliyonunulia gari miaka mitatu iliyopita (18m) au hii uliyokatia bima mwaka huu (14m)...

Hesabu ipi ni sahii...?

3 years depreciation ni

18mx25%= 4.5m

Au

14mx25%= 3.5m

Which one is correct?

Na pia kwa nini wakati nakata bima napodeclare thamani ya bima wasikuwekee depreciation kabsa....

Yani thamani ya gari yako mwaka huu iwe 18m-4.5m=13.5m

Na hapo thamani ya bima iwe

13.5mx3.5%+13.5mx18% (VAT).
 
Mimi nachojua hesabu watakayokupigia kwa mwaka huo ndio pesa watakayokupa kwa sababu bima ni mkataba baina ya watu wawili, yaani unipigie hesabu gari yangu nimekwambia ina thamani ya milioni 18 ukapiga hesabu zako ukanilipisha laki sita halafu gari ipate ajali iniambie gari yako ina thamani ya 14m hatutaelewana kwa kweli
 
Mimi nachojua hesabu watakayokupigia kwa mwaka huo ndio pesa watakayokupa kwa sababu bima ni mkataba baina ya watu wawili, yaani unipigie hesabu gari yangu nimekwambia ina thamani ya milioni 18 ukapiga hesabu zako ukanilipisha laki sita halafu gari ipate ajali iniambie gari yako ina thamani ya 14m hatutaelewana kwa kweli
Yani hawa jamaa nimewashangaa sana....
 
Okay asante kwa ufafanuzi.

So wanatakiwa ku consider ile miezi mitatu ya depreciation tu.
Kama mwanzon wali depreciate wakat unakatia bima,wanatakiwa.wapige ile miezi mitatu km haikupigiwa depreciation itaanza hesabu upya
 
Hio depreciation yenyewe inafanyika kwa njia ipi?Straight line,reducing balance method au ?
Mwaka wa kwanza wana depreciate by 15% then miaka inayofuatia ni costant 10% kila mwaka.

Nadhani hii itakua straight line...
 
Back
Top Bottom