Red Giant
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 15,657
- 20,967
Chanjo iliyokuja ni chanjo 1m tu. Nchi yetu tupo watu 60m. Hatuwezi pewa chanjo zote bure, na serikali haitaweza kugharamia zote. Nauliza kama bima ya afya NHIF ina cover chanjo?
Mtu anapojiunga na bima ya afya, terms and conditions zinasemaje?
Mtu anapojiunga na bima ya afya, terms and conditions zinasemaje?