Mparee2
JF-Expert Member
- Sep 2, 2012
- 3,092
- 5,386
Nasikiliza hapa mkurugenzi wa Bima ya Afya NHIF (Benard); Kaulizwa hivi, Mtu akistaafu inakuwaje?
Kajibu kuwa kwa Mtumishi wa Uma ataendelea kupatiwa huduma. Mtangazaji hakuwa makini kumuuliza na kwa mtumishi wa Secta Binafsi inakuwaje? shame!
Yaani kwa mfano; Raia mmoja aajiriwe Serikalini afanye kazi miaka 20 na mwingine aajiriwe Shirika Binafsi afanye kazi miaka 20 wote wakiwa wanachama wa Bima ya TAIFA
ILA wakistaafu Aliyekuwa Serikalini anatambulika na aliyeko Shirika Binafsi hatambuliki?
Sijui kama watunga Sheria wetu wanafaham hili!
Kajibu kuwa kwa Mtumishi wa Uma ataendelea kupatiwa huduma. Mtangazaji hakuwa makini kumuuliza na kwa mtumishi wa Secta Binafsi inakuwaje? shame!
Yaani kwa mfano; Raia mmoja aajiriwe Serikalini afanye kazi miaka 20 na mwingine aajiriwe Shirika Binafsi afanye kazi miaka 20 wote wakiwa wanachama wa Bima ya TAIFA
ILA wakistaafu Aliyekuwa Serikalini anatambulika na aliyeko Shirika Binafsi hatambuliki?
Sijui kama watunga Sheria wetu wanafaham hili!