Bima ya afya inalipia kipimo cha MRI?

Madeli

Member
Joined
Feb 3, 2018
Posts
12
Reaction score
4
Hi wadau!

Naomba kuuliza kwa nayefamhamu. Je Bima ya NHIF inalipia kipimo cha MRI??
 
Ni baadhi ya hospitali ndio zinakubali kukuhudumia ndugu, ilinikumba mimi nimepatashida mno, ubabaishaji mwingi. Ila usife moyo jaribu kwenda na kuangalia itakavyokuwa pengine zone hiyo ni wastarabu.
 
Ni baadhi ya hospitali ndio zinakubali kukuhudumia ndugu, ilinikumba mimi nimepatashida mno, ubabaishaji mwingi. Ila usife moyo jaribu kwenda na kuangalia itakavyokuwa pengine zone hiyo ni wastarabu.
Ni kwa KILIMANJARO. Nawaza sijui nianzie tuu Mawenzi Hospt au niende private hospt.
 
NHIF inagaramia isipokua ufuate utaratibu wala hakuna ubabaishaji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…