Kichochoro
JF-Expert Member
- Jul 18, 2017
- 1,135
- 1,167
Naandika kama ushaur kwa serikali ya Tanzania hasa wizara ya afya hasa upande bima za afya yaani National health insurance fund (NHIF) zimeonekana kusaidia sana hasa kwa watu wanapougua na kutibiwa kwa kutumia bima hzo.
Ushaur wangu kwa wizara ya afya kama inawatambua wanganga wa kienyeti hasa wenye leseni nazinatambulika kwa level kuanzia ngazi ya wilaya,mkoa hata taifa waganga nashaur washauriwe/waombwe pindi mtu anapougua na huenda ugonjwa wake ukaonekana unaweza kutibika kienyeji bas.wagonjwa hao watumie bima za afya kama ilivyo kwenye mahosptal yetu ili watu waweze kwenda kutibiwa hata kwa hao waganga wakienyeji bila kuogopa garama za matibabu.
Baadhi ya watu wenye bima hzo wametibiwa kwa waganga hao na wengne wanashindwa kwenda kutibiwa kulingana na garama zakugarimia matibabu.
Hvyo naishaur serikali hasa kupitia wizara ya afya kutengeneza mfumo ambao utakuwa wezeshe watu wenye bima watibiwe popote as they wish!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ushaur wangu kwa wizara ya afya kama inawatambua wanganga wa kienyeti hasa wenye leseni nazinatambulika kwa level kuanzia ngazi ya wilaya,mkoa hata taifa waganga nashaur washauriwe/waombwe pindi mtu anapougua na huenda ugonjwa wake ukaonekana unaweza kutibika kienyeji bas.wagonjwa hao watumie bima za afya kama ilivyo kwenye mahosptal yetu ili watu waweze kwenda kutibiwa hata kwa hao waganga wakienyeji bila kuogopa garama za matibabu.
Baadhi ya watu wenye bima hzo wametibiwa kwa waganga hao na wengne wanashindwa kwenda kutibiwa kulingana na garama zakugarimia matibabu.
Hvyo naishaur serikali hasa kupitia wizara ya afya kutengeneza mfumo ambao utakuwa wezeshe watu wenye bima watibiwe popote as they wish!
Sent using Jamii Forums mobile app