Bima ya Afya kwa mfanyakazi

Bima ya Afya kwa mfanyakazi

kiu ya haki

Senior Member
Joined
Jul 17, 2015
Posts
103
Reaction score
55
Habari wakuu,

Napenda kufahamu kuhusu sheria ya mfanyakazi katika kampuni binafsi ndani ya Tanzania je ni haki wafanyakazi kupewa bima ya afya bila dependant wao kimfano employee amepewa bima ya afya kisha akaambiwa atapata yeye tu mke na mtoto hawatapata.

Wafanyakazi wengine wameinclude dependant wao wengine wamepewa limit kuwa na dependant mmoja tu.

Je, hii imekaaje kisheria kuna haki na usawa kweli hapa?
 
Habari wakuu,

Napenda kufahamu kuhusu sheria ya mfanyakazi katika kampuni binafsi ndani ya Tanzania je ni haki wafanyakazi kupewa bima ya afya bila dependant wao kimfano employee amepewa bima ya afya kisha akaambiwa atapata yeye tu mke na mtoto hawatapata.

Wafanyakazi wengine wameinclude dependant wao wengine wamepewa limit kuwa na dependant mmoja tu.

Je, hii imekaaje kisheria kuna haki na usawa kweli hapa?
Taja ni mfuko wa bima gani? Na ni kifurushi gani? Na kwa mwezi deduction ya bima unakatwa kiasi gani au ni complimentary tu ya muajiri?
 
Back
Top Bottom