Ndg wadau, naomba kuuliza km bima ya afya (nhif) ina.cover na gharama ya miwani ya macho na km haijumuishi ni wapi naweza kuipata kwa bei ya kupoa kidogo na bila zengwe. Mi natumia photocromic, asanteni.
Mi niko dar, samahan mkuu hiyo niliisahau
We upo wapi? bima wanagharimia sh.15000 sijui kama watakuwa wameongeza