Bima ya afya

Bima ya afya

Red Scorpion

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2012
Posts
5,736
Reaction score
4,252
Nilikuwa kwa mganga wa jadi, baada ya matibabu akawa anadai malipo si ndo nikamuonyesha bima ya afya... Kilichotokea hata mi mwenyewe ckumbuki ila nimejikuta niko Lugalo juu ya bati sijui hata ni nyumba gani ila naona kama wanajeshi kwa chini.
[emoji23][emoji23]
 
hahahaha😀😀😀😀.
Wambie ndugu zako wampeleke mganga mbuzi, utarudi katika hali yako
 
Waambie wajeshi kuwa wewe ni fundi unanyoosha bati lao labda lilidondokewa na mabomu yao
 
Back
Top Bottom