Youngstunna
JF-Expert Member
- Jul 5, 2016
- 266
- 300
Wakuu habarini za mchana mko poa ? Jamani naomba kujua taratibu za kupata bima ya afya (NHIF) au hata nyinginezo..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeajiriwa au umejiajiri?Wakuu habarini za mchana mko poa ? Jamani naomba kujua taratibu za kupata bima ya afya (NHIF) au hata nyinginezo..
Nimejiajiri mkuuUmeajiriwa au umejiajiri?
Nenda Ofisi za BIMA Mkoani kwako watakupa Package bora kwako..Nimejiajiri mkuu
Asante sana mkuuNenda Ofisi za BIMA Mkoani kwako watakupa Package bora kwako..
Au hudhuria Hospitali Yoyote ya Wilaya ,Mkoa,Kanda au Yoyote iliyokaribu na Wewe uliza kitengo cha Bima watakupa A,B,C uanze wapi
Utaratibu huo apoWakuu habarini za mchana mko poa ? Jamani naomba kujua taratibu za kupata bima ya afya (NHIF) au hata nyinginezo..
Mkuu kwenye hizo gharama ni za mwezi au za mwaka?Utaratibu huo apoView attachment 2868721View attachment 2868722
Bima huwa ni ya mwaka mzimaMkuu kwenye hizo gharama ni za mwezi au za mwaka?
sawaBima huwa ni ya mwaka mzima