bima ya biashara

Kuku wa Kabanga

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2009
Posts
807
Reaction score
368
habari wanajf,nina duka langu la rejareja nataka kulikatia bima,hii kitu ipo bongo?na kampuni ipi nzuri?naomba uzoefu na hata utaalam ktk hili.
 
Ipo sana hiyo. ningekushauri ukatie bima kupitia kwa Broker kuliko wewe kwenda moja kwa moja kwenye kampuni ya bima . utapata usumbufu sana kufuatilia likitokea tatizo. lakini broker yeye atakomaa nao mpaka unalipwa kwasababu yeye ndo anawapelekea biashara kila wakati anakuwa anafahamiana nao kwa karibu tofauti na wewe ambaye unakuwa umewapa biashara moja tu.
 
nakushauri usikatie katika makampuni ya bima ya serikali kwani incase of claims huwa hayalipi
 
Mkuu kama uko serious ni PM nikuunganishe na broker.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…