Bima ya Mkopo Benki Nmb

Darren2019

JF-Expert Member
Joined
Nov 23, 2019
Posts
1,112
Reaction score
2,400
Wakuu naomba kufahamishwa kuhusu jambo hilo.

Nilikuwa na mkopo benki ya Nmb na nilipomaliza marejesho niliendelea na mambo yangu ila leo katika nazungumzo ba wadau nimeambiwa fedha zilizokatwa kwenye mkopo kama bima ya mkopo zinarudi kwa mkopaji baada ya kumaliza marejesho.

Naomba ukweli wa hili kwa mwenye ufahamu ili kesho niamkie benki kudai changu.
 
Hakuna kitu kama hicho.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…