Macbook pro
JF-Expert Member
- Jul 15, 2020
- 722
- 1,030
Habari zenu wakuu!
Ninatumaini mko pouwa asee, ninashida moja juu ya ufahamu wangu juu ya Bima ya Mkopo ambao mtu akichukua mkopo Bank. Hii Bima ya mkopo imekaaje au sheria inasemaje kuhusu hilo ? Ni katika mazingira gani hiyo Bima inafanya kazi na mwombaji wa mkopo ananufaikaje na hii Bima?
Mabenki au Taasis zinazotoa mikopo zinanugaikaje ? Mwenye ufahamu tafadhari naomba anisadie niko gizani nahitaji kufahamu hili
Ninatumaini mko pouwa asee, ninashida moja juu ya ufahamu wangu juu ya Bima ya Mkopo ambao mtu akichukua mkopo Bank. Hii Bima ya mkopo imekaaje au sheria inasemaje kuhusu hilo ? Ni katika mazingira gani hiyo Bima inafanya kazi na mwombaji wa mkopo ananufaikaje na hii Bima?
Mabenki au Taasis zinazotoa mikopo zinanugaikaje ? Mwenye ufahamu tafadhari naomba anisadie niko gizani nahitaji kufahamu hili