MamaParoko
JF-Expert Member
- Jan 14, 2008
- 463
- 60
jamani naombeni maoni yenu kuhusu bima ya taifa ya afya, kuna mvutano kazini kuhusu kujiunga nayo, je kwa waliowahi kutumia mnaonaje huduma za bima hiyo? ni za kuridhisha au?
jamani naombeni maoni yenu kuhusu bima ya taifa ya afya, kuna mvutano kazini kuhusu kujiunga nayo, je kwa waliowahi kutumia mnaonaje huduma za bima hiyo? ni za kuridhisha au?
MamaParoko bila shaka uko pale kwa wasomi! Ngoja nami nikae mkao wa kuisikia humu ili sera yake ikiletwa kwetu niwe nilishaijua
Mkuu, kwanza tukubali kwa kiasi fulani NHIF imepiga hatua sana kwenye kujiweka katika ramani ya health care financing hata Tz, their website is also far better than most of our government isntitutions (including hata ile ya wakuu)
Now, challenges bado ni nyingi kwasababu ya namna NHIF inavyo-integrate na local government na vituo vya afya visvyo na direct management ya serikali (FBO, VA na private), hapo kidogo patahitaji collective approach
wenye bima hizi hawathaminiwi kutokana na limitations za services na products zinazotokana na caps! hivyo kuonekana ni wa hadhi duni kulinganisha na mifumo mingine ya bima ya afya
Kuna huge problem kwenye accountability hasa kwenye hospitals zinazopata multiple supports - utakuta hospitali zinapata dawa za misaada halafu wanacharge wagonjwa kwenye forms za NHIF na hili linapelekea NHIF kuibiwa. Inawezekana kabisa hili tatizo linasukwa na baadhi ya NHIF staffs na pesa kupigwa panga
NHIF imekuwa ikijivunia hata efforts ambazo si za kwao ilimradi wao wanasapoti hospital basi chochote chenye improvement wanaclaim wakati si kweli
NHIF imeshindwa ku-adress suala nyeti la dawa accountability wakati kwenye fact sheet yao inaonekana wazi kwamba ni muhimu
I am sure wanaelekea kuzuri lakini humuma zao zinahitaji kuwa more integrated na mifumo iliyopo na waboreshe accountability, nina imani hii ni epa nyingine isipoangaliwa vyema kutokana na baadhi ya halmashauri kuweka magonjwa na dawa feki kwenye fomu feki kuongeza kipato
NHIF ni bonge la EPA. Na kuonesha kuwa kuna mkono wa mtu, Bunge tayari limepitisha sheria kuwa kila mfanyakazi lazima ajiunge nalo. Mfano jamaa yangu anatoa 3% ya mshahara kwa mwezi (>60,000/- kwa mwezi) na mwajiri anamchangia kiasi kama hicho. Je kuna uhalali wowote wa kutungiwa sheria ya kulazimisha wafanyakaji kujiunga na NHI?
mi nimewahi kutumia ni nzuri. hasa ukipata green card tumia hospitali zinazoeleweka kama agakhani hakuna matatizo. kwa broun card ndio kuna matatizo
angalizo: kupata greencard unatakiwa kuwa na mshahara kuanzia Tshs. 864,030/- kwa mwezi au zaidi, chini ya kiwango hiki utapata brown card
hii bima ya kipumbafu sana wife anayo baba yake ni mwanachama lkn hospitali zote wanakataa, utasikia yaani huna kadi nyingine? wakiiona tu utawaona wanavyosikitika, simu zitapigwa hapo kuulizana mpaka utibiwe ht masaa mawili yatakuwa yamepita
mi nimewahi kutumia ni nzuri. hasa ukipata green card tumia hospitali zinazoeleweka kama agakhani hakuna matatizo. kwa broun card ndio kuna matatizo
angalizo: kupata greencard unatakiwa kuwa na mshahara kuanzia Tshs. 864,030/- kwa mwezi au zaidi, chini ya kiwango hiki utapata brown card