Matawi ya juu
JF-Expert Member
- Mar 5, 2019
- 3,504
- 6,809
Hospitali ni huduma sio biashara?? kuwa serious kidogo tafadhariKifupi hizo situation za kufikirika haziko kwenye fani ya udaktari duniani kote
Hospitali ni huduma sio biashara.Haina cha mambo ya target kama mtu unauza njugu
Watu kuumwa huwezi weka target kuwa mwezi huu wataumwa mia na kuja hospitali
Nilichanganyikiwa, maana walimpa prescription ya dawa za kifafa za kutumia mwaka mzima, bahata nzuri ndio alikuwa ametumia wiki tu.
Hiyo Bima inayoweza kutoa prescription ya dawa ya mwaka mzima kwa mara moja ni bima ya aina gani?.., utasingiziwa magonjwa ya gharama gharama ili wafikisi mifuko ya bima, na hapa mlengwa mkubwa ni NHIF..
Hiyo ya kwako ni special case watu mamilioni wanatibiwa na bima ya afya kila siku kwa miaka hospital za private kubwa na ndogo hawajapata hilo tatizo la kubambikwa magonjwa
Ni tatizo kubwa Tanzania. Hata ukienda kwa malipo cash usipokuwa mwangalifu unabambikiwa ugonjwa ili wapate fedha. Siyo hospital zote lkn zipo baadhi au baadhi ya ma-dr. Na wengine ni vilaza.Hiyo ya kwako ni special case watu mamilioni wanatibiwa na bima ya afya kila siku kwa miaka hospital za private kubwa na ndogo hawajapata hilo tatizo la kubambikwa magonjwa
Nimemshangaa sana huyo bwege anaongea kitu gani, kuna hospitali hapa mjini mama mjamzito tukifungua kwa operation inaenda mlioni 3 mpk 5. Hapo assume kila kitu kimeenda sawa, akipata complications ndiyo utaisona namba..Hospitali ni huduma sio biashara?? kuwa serious kidogo tafadhari
,Yalishawahi kunikuta. Yaani hizi hospitali binafsi wakishagundua tu wewe au mtoto wako ana bima ya afya ya kueleweka, basi wanaanza kumbambikia magonjwa makubwa makubwa ya ajabu ajabu.
Kuna kipindi walimsingizia mwanangu ugonjwa wa kifafa pindi alipopelekwa na mama yake kwenye hospitali moja kubwa binafsi, alipokuja kuniambia moyo ukanilipuka. Nikaingia google na kuanza kusearch zile dalili, haraka sana google ikaniambia ni ‘Febrile seizure’, kucheki google translator ikabiambia maana yake ni ‘dege dege’.
Nilichanganyikiwa, maana walimpa prescription ya dawa za kifafa za kutumia mwaka mzima, bahata nzuri ndio alikuwa ametumia wiki tu.
Nilipowafuata wakajidai kuwa hawamtambui kama aliwahi kuja kutibiwa hapo, nilipowaonyesha risiti za makato ya bima ndio ikabidi waniunganishe na dokta mwingine kunipa ufafanuzi, maana yule alieandika hiyo midawa alikimbia.., eti wananiambia ni makosa ya kibinadamu.., kwamba mama yake hakutoa malezo ya dalili vizuri..
Haya kucheki bima ya mtoto nakuta wamelamba milioni moja na zaidi kwa dawa na vipimo…, yaani nilisikia hasira, ilikuwa niwashtaki kabisa.., sema ndio vile tu.., mitaasisi mikubwa binafsi kama ile huwezi kuwashinda mahakamani, maana watafuta evidence zote za mgonjwa kwenye system zao na kukana kumjua baadae..
Kuna movie nimeiangalia usiku huu Mnet Movies 4 ikanikimbusha hii incident..
Kama unajiweza, usidiriki kutumia bima kwenye mahospitali makubwa binafsi ya kibiashara, labda za serikali.., utasingiziwa magonjwa ya gharama gharama ili wafikisi mifuko ya bima, na hapa mlengwa mkubwa ni NHIF..
Hiyo ya kwako ni special case watu mamilioni wanatibiwa na bima ya afya kila siku kwa miaka hospital za private kubwa na ndogo hawajapata hilo tatizo la kubambikwa magonjw
Bado hujui jinsi gani hizi hospital binafsi zinavojiendesha. Zipo kifaida zaidi na hasa kwenye watumiaji wa bima ya Afya maana ndo wengi sana kuliko wagonjwa wa Cash.Kifupi hizo situation za kufikirika haziko kwenye fani ya udaktari duniani kote
Hospitali ni huduma sio biashara.Haina cha mambo ya target kama mtu unauza njugu
Watu kuumwa huwezi weka target kuwa mwezi huu wataumwa mia na kuja hospitali
How are you to know?Kwamba kisa maaadili hayaruhusi ndio guarantee kwamba wanfuata hayo maadili?! Pengine wameweka monthly quotas za kumeet? How am i to know?!
Hazikutolewa mara moja za mwaka mzima, bali scheme ya dawa iliyokuwa imeandaliwa ni ya mwaka mzima, (means ni medication inayokamilika kwa mwaka mmoja) kwamba kila zinapoisha zinaenda kuchukuliwa.., na kwa Vipimo tu na dawa ambazo alishapewa za mwezi nadhani, billed amount ilikuwa zaidi ya milioni 1. Sasa can’t imagine mwisho wa huo mwaka ilikuwa inakuja ngapi kama ingeendelea..Hiyo Bima inayoweza kutoa prescription ya dawa ya mwaka mzima kwa mara moja ni bima ya aina gani?
Kama mlengwa ni NHIF basi hapa umepotosha maana wao prescription wanaruhusu za siku 30 tu maximum.
Kipo walipima, nimetoa maelezo comment za nyuma..Hiv ugonjw kam kifafa haun kipmo cha kimaabara
Suala la wewe kurule out vitu ambavyo nimeviona na kuviexperience kwamba sio maadili ndiocho nina kipinga, kitu kimefanyika 1,2,3 ambavyo sababu pekee ninayoiona yenye logic na inaayomake sense ni kuongeza mauzo tu.., kama unasababu nyingine itoeHow are you to know?
Kwamba hujui!!
Kutokana na kutojua wawezaje kukataa kwamba ulichoandika ni uongo?
Yaani ikiwa hujui jambo, basi lolote unalofikiria wewe ndo linakiwa sahihi?
Halafu wasema unajielewa!!!
Tutajie ili tusije kujichanganya kwa hao wauajiTena usitake nitaje jina la hiyo hospitali! Maana unaanza kunirudishia hasira zilizopoa!
Madokta wanaofanya hivyo wanapaswa kufutiwa leseni zaoYalishawahi kunikuta. Yaani hizi hospitali binafsi wakishagundua tu wewe au mtoto wako ana bima ya afya ya kueleweka, basi wanaanza kumbambikia magonjwa makubwa makubwa ya ajabu ajabu.
Kuna kipindi walimsingizia mwanangu ugonjwa wa kifafa pindi alipopelekwa na mama yake kwenye hospitali moja kubwa binafsi, alipokuja kuniambia moyo ukanilipuka. Nikaingia google na kuanza kusearch zile dalili, haraka sana google ikaniambia ni ‘Febrile seizure’, kucheki google translator ikabiambia maana yake ni ‘dege dege’.
Nilichanganyikiwa, maana walimpa prescription ya dawa za kifafa za kutumia mwaka mzima, bahata nzuri ndio alikuwa ametumia wiki tu.
Nilipowafuata wakajidai kuwa hawamtambui kama aliwahi kuja kutibiwa hapo, nilipowaonyesha risiti za makato ya bima ndio ikabidi waniunganishe na dokta mwingine kunipa ufafanuzi, maana yule alieandika hiyo midawa alikimbia.., eti wananiambia ni makosa ya kibinadamu.., kwamba mama yake hakutoa malezo ya dalili vizuri..
Haya kucheki bima ya mtoto nakuta wamelamba milioni moja na zaidi kwa dawa na vipimo…, yaani nilisikia hasira, ilikuwa niwashtaki kabisa.., sema ndio vile tu.., mitaasisi mikubwa binafsi kama ile huwezi kuwashinda mahakamani, maana watafuta evidence zote za mgonjwa kwenye system zao na kukana kumjua baadae..
Kuna movie nimeiangalia usiku huu Mnet Movies 4 ikanikimbusha hii incident..
Kama unajiweza, usidiriki kutumia bima kwenye mahospitali makubwa binafsi ya kibiashara, labda za serikali.., utasingiziwa magonjwa ya gharama gharama ili wafikisi mifuko ya bima, na hapa mlengwa mkubwa ni NHIF..