Bimmer na Landcruiser V8

Yes wamesema.. Ishu ni sio nyingi.. Na hizo chache zinazoweza hazina engine ndogo.!
 
Huku field hayo magari yote yako huku na ni kazi kazi,na Vigo AN30 Shabib alizileta 20 hapo kwny Sgr na Ni kazi mwanzo mwisho.Na hakuna Gari ya mjerumani huku field.
 
na hakuna mtu wa field asietaka Amarok, sema zimesimama.. zipo tunaziona watu wanazitumia field, na kuna hilux zimechakaa hadi kinyaa hata kupanda
Labda amatuers ndio watataka Amarok,makonki hawanaga muda yaani hata kuijadili mezani hamuwezi kuanza kuiongolea,maana principle ya kwanza mizigoni Ni CBA(Cost Benefit Analysis) ikiwa nje ya hio curve Wala hakuna mtu anaijadili.
 
Labda amatuers ndio watataka Amarok,makonki hawanaga muda yaani hata kuijadili mezani hamuwezi kuanza kuiongolea,maana principle ya kwanza mizigoni Ni CBA(Cost Benefit Analysis) ikiwa nje ya hio curve Wala hakuna mtu anaijadili.
Yes aisee.. Contractor yupo kibiashara zaidi.. Gari inavyokaa muda mrefu garage badala ya site inakuwa hasara kwake..
Ukishataja Reliability Mjerumani hana nafasi..!
Performance ndio inaendana naye..!
 
Yeah sahizi hata Toyota nazo ni expensive mbona kumaintain! Wanaomiliki Harrier na Crown tu wanaelewa mziki wake[emoji28][emoji28][emoji28] hayo ma offroader tu ndio si mchezo!
Nikiangalia consumer trend za Tz, ipo hivi;

1. % kubwa ni kufuata mkumbo na sio kitu mtu anapenda. Ndio maana ni rahisi kuona sare maua barabarani. Watu hawatumii muda kufanya research, anaangalia workmate, jirani, dalali anamshauri nini. Hata kama anaingizwa cha kike ananunua tu.

2. Watu hawanunui magari wanayoyapenda kwa kukosa exposure. Kwa mtu anaekaa kwenye miji mikubwa kama Dar, gari za kijerumani haziwezi msumbua kwasababu 90% ya barabara anazotumia ni lami.

3. Hypothetical fear, mtu anahisi kuogopa kumiliki gari ya kijerumani akihisi atashindwa kuihudumia. Ukiweza miliki baadhi ya magari ya toyota, ni rahisi kumiliki asilimia kubwa ya magari ya kijerumani.

4. Cheap vs Original spare parts. Leo hii muulize mtu kwanini hanunui Subaru, Nissan, Mazda, Honda. Jibu atakalokwambia ndo sababu ambazo hawezi nunua Benz au Audi. Na jibu kubwa ni kwamba, spare ni gharama, anasahau kwamba hao hawauzi spare used au zilizochinjwa tandale. Wao wanauza original ambapo bei ni gharama sana. Ila ukinunua spare OG za Toyota basi bei zinakuwa sawa almost brands zote ukiacha zile luxury brands.

Na sio kwenye magari tu, watanzania wengi wananunua vitu kwa kufuata mkumbo na sio kuweka muda wao kufanya research. Angalia electronics, home appliances. Wanaruhusu mtu afikirie kwa niaba yao. Ila kihalisia tunapitwa vingi sana. Hiyo ndo CONSUMER IGNORANCE.
 
Barabarani ila sio kwenye kazi
Hizo kazi mnazoziongelea ni zipi ndugu yangu? Kupasua mawe? Unless uwe rough driver ambapo hata hiyo Hilux utaipark juu ya mawe soon.

Hizo gari mnazioverrate sana, ila ni gari build quality ipo chini mno. Kinachowapa kiburi hata ukipasua radiator, kesho unaifuata kkoo unaifunga.

Ila hilux hapana.
 
Hilux ipi unayozungumzia isije ikawa Hilux masawe?

Hatuzi overrate bana tunaenda factual tu! Maana kila Toyota mnaifananishaga na gari za Mkaa tu! Hii sio sawa jamaa wameimprove sana sikuhizi.
 
Wakati LC200 zinaanza kuingia, kuna mzee wa mshkaji alikuwa ndo wale watu wa kwanza kupewa, akawa analitumia kwenye shughuli zake za migodi ya madini.

Gari ikiharibika inapelekwa Toyota tz kutengenezwa, bill yake ikija unashika kichwa. Kwanza ni gari delicate sana inahitaji mtunzaji, usione madereva wa serikali wanazibamiza hovyo ukadhani ni vile unafikiria. Siku ukilimiliki utajua kwanini hata huko ulaya wanazikimbia.

Tafuta bei ya basic components ndo ujue rough estimates ya kulitunza hilo gari.
 
Hapo ndipo nawashangaa mnaposema Toyota ni gari cheap! It depends ni gari gani yani highend cars za Toyota sio cheap ila hazina magonjwa ya mara kwa mara! Reliability iko juu
 
Amarok ni gari ya kuuzia sura haina ugumu wa hilux! Kuipeleka kwa malengo ya kibishoo site inakua sio sawa
Dunia inabadirika watu wanafunguka akili, Amarok ni gari bora kabisa kuanzia site hadi town, ukitaka mwendo ndio mwake mle.. mnakimbiliaha offroad bado ina fanya vizuri na sio kila field zipo matakoni mwa nchi πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Labda amatuers ndio watataka Amarok,makonki hawanaga muda yaani hata kuijadili mezani hamuwezi kuanza kuiongolea,maana principle ya kwanza mizigoni Ni CBA(Cost Benefit Analysis) ikiwa nje ya hio curve Wala hakuna mtu anaijadili.
Nyie wa kizamani hamuwezi ijadili πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ ila sie wa kisasa hayo ndio maneno ... huwezi kimbia kitu kizuri mzee baba, na anae kimbia gari kali hata demu mkali hawezi mmudu atalia pia gharama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…