kali linux
JF-Expert Member
- May 21, 2017
- 2,192
- 5,685
Sijaona speed hapoTukiwa safarini na wadau.. Tukasema tupime mwendo na Landcruiser.. Matokeo ndio kama hayo..!
Hii test tumeifanya kwa kipande kifupi.. Then tukapunguza mwendo Landcruiser ikapita.. Rpms kwetu zilikuwa zinacheza kwenye 6k..V8 yeye engine kubwa stamina ya kutosha.
Tahadhari spidi kali ni hatari..ndio maana hapo kwenye dashboard kuna vitabu vya dini.. Incase chochote kikitokea tunakimbilia kutubu.
View attachment 2020608
chuma inabembeleza hata wazungu wenyewe wanakiri huko YoutubeNakubali, LS ya 2013 comfort yake 5 series BMW haioni ndani.
Hamna kitu hapoSpidi ni kubwa..!
BMW ni takataka mbele ya LCKwahiyo gharama za oil service ya BMW ni kubwa kuliko fuel unayoitumia kwa hiko kipindi?
Hahahah nakubali sana mwaisaBMW ni takataka mbele ya LC
Duuu!!! Speed kubwa hiyo bado inasema hakuna kitu?Hamna kitu hapo
we jamaa kwenye landcruiser v8 unaweza mpiga hta mtu migumi ya roho aisee[emoji16][emoji16][emoji16]Hahahha ndio maana namwambia huyo chalii hio GX V8 ni kama Tank! Yani inafukia rasta na ma bumps kama utani vile [emoji28]
Wakati wewe unarudi 30KPH kuruka bumps mwenzio analipanda na 100KPH gari inanepa tu na kutembea [emoji28]
Hio mashine iache iende usipambanewe jamaa kwenye landcruiser v8 unaweza mpiga hta mtu migumi ya roho aisee[emoji16][emoji16][emoji16]
toyota yetu sisi ni moja tu LCNitaendelea kuipa heshima zake BMW... hakuna sedan ya kijapan inaweza kuipita V8 namna hiyo.
BMW ni zaidi ya Toyota Kwa kila kitu
Dash inasoma 300 alafu bado kuna MTU anabishana?
speed kubwa ulio wai fika ww ni ngap na iyo bima?Dash inasoma 300 alafu bado kuna MTU anabishana?
Hiyo Toyota V8 namkutanisha na BMW 328i alafu majibu watayapata
Tukiwa safarini na wadau.. Tukasema tupime mwendo na Landcruiser.. Matokeo ndio kama hayo..!
Hii test tumeifanya kwa kipande kifupi.. Then tukapunguza mwendo Landcruiser ikapita.. Rpms kwetu zilikuwa zinacheza kwenye 6k..V8 yeye engine kubwa stamina ya kutosha.
Tahadhari spidi kali ni hatari..ndio maana hapo kwenye dashboard kuna vitabu vya dini.. Incase chochote kikitokea tunakimbilia kutubu.
View attachment 2020608
Mkuu! Hujaipata bado?Hahaha Nipo.. Bado naitafuta..!
Au kuna deadline..!