Bin Laden hatoonekana kamwe....!

Bin Laden hatoonekana kamwe....!

vkeisy2006

JF-Expert Member
Joined
Mar 26, 2010
Posts
229
Reaction score
99
Kijiji huko afghanstan.... afghan 1.JPG.afghan 2.JPGcafghan 4.JPGhafghan 7.JPG]afghan 6.JPG




UKITAK Ahabari zaidi kwa JAYDEE...
 

Attachments

  • afghan 5.JPG
    afghan 5.JPG
    20.2 KB · Views: 220
he was genius, nadhani dunia nzima inamfahamu civil eng anayeitwa BIN LADEN,
ningepata nafasi ningefanya mahojiano na bin laden kwani nadhani ameshehena mawazo mengi sana
 
hataonekana tena kwasababu ameshakufa....shetani mkubwa yule, ameiwakilisha vyema dini yake....
 
Jamaaa mwenyewe alishakufa tangu 2001, kilichomuua ni either kipindupindu au kidney failure. hakuna Osama tena ni kuogopa vivuli tu.
 
nashangaa wengine wanamfagilia, wakati alikuja kuua watz kibao hapa siku ile alipovurumisha mabom ubalozi wa wamarekani, waliokufa ni watz, na watz haohao wengine wanamsapoti na kuona kuwa anapigania dini yao....ajab kweli dini zingine.
 
Kuna theory nyingi juu ya aliko Bin Laden, karibuni niliambiwa na mtu kutoka Pakistan kuwa Bin Laden anaishi ikulu ya Marekani aka White house, tena alinishangaa kwamba sikuwa ninafahamu hilo jambo kwani ni "kitu wanachokijua". Mh!
 
Jamaaa mwenyewe alishakufa tangu 2001, kilichomuua ni either kipindupindu au kidney failure. hakuna Osama tena ni kuogopa vivuli tu.

COnspiracy theorists wanasema al Qaeda na UBL is a big deal na watu wachache wananufaika na duru zinazoendelea kule. Maana last time I checked bajeti ya vita ilikuwa kwene around dola bilioni 78 or 80 hivi.. You can imagine hizo pesa zinatumbukia mahali fulani sidhani kaa mtu anayezipokea anatamani Osama 'afwe'..lol
 
nashangaa wengine wanamfagilia, wakati alikuja kuua watz kibao hapa siku ile alipovurumisha mabom ubalozi wa wamarekani, waliokufa ni watz, na watz haohao wengine wanamsapoti na kuona kuwa anapigania dini yao....ajab kweli dini zingine.

kupigwa kwa ubalozi wa marekani isiwe ndio sababu ya wewe kuhitimisha kuwa mtu fulani ni mbaya katika mapambano ya kutaka kupata kitu fulani inawezekana kuna watu wakaumia kwa bahati mbaya lakini lengo la mtu huyu ni kupinga uonevu unaoweza kufanywa na mataifa yenye nguvu kama urusi na marekati na kama ukiwa mfuatiliaji mzuri fuatilia mikanda ya akina MAO, CASTRO.NYERERE , HUGO CHAVES . MANDELA NA LULA D, SILVA utagundua kuna kitu kimoja katika ubongo wao ambacho ni tofauti na jamii ya wakati uo, kwahiyo jenga misingi yako ya ufuatiliaji kutokea kwenye kitu hicho utapata kitu kimoja muhimu ingawa unaweza kuona mapungufu mengine ila wewe tumia mazuri ya watu awa
 
kupigwa kwa ubalozi wa marekani isiwe ndio sababu ya wewe kuhitimisha kuwa mtu fulani ni mbaya katika mapambano ya kutaka kupata kitu fulani inawezekana kuna watu wakaumia kwa bahati mbaya lakini lengo la mtu huyu ni kupinga uonevu unaoweza kufanywa na mataifa yenye nguvu kama urusi na marekati na kama ukiwa mfuatiliaji mzuri fuatilia mikanda ya akina MAO, CASTRO.NYERERE , HUGO CHAVES . MANDELA NA LULA D, SILVA utagundua kuna kitu kimoja katika ubongo wao ambacho ni tofauti na jamii ya wakati uo, kwahiyo jenga misingi yako ya ufuatiliaji kutokea kwenye kitu hicho utapata kitu kimoja muhimu ingawa unaweza kuona mapungufu mengine ila wewe tumia mazuri ya watu awa

kuna mazuri gani aliyofanya osama bin laden? na we mfuasi wake nini?
 
kuna mazuri gani aliyofanya osama bin laden? na we mfuasi wake nini?

Alifanikisha kuyatoa majeshi ya kivamizi ya urusi afaghanistani na vile vile kupinga kutawaliwa kwa nchi za kiarabu na majeshi ya marekani hii tosha ni kiashiria ni mpinga matumizi ya nguvu duniani, pili ni mfano wa watu shupavu wasioogopa kushindana na mataifa ya kibeberu na mtu anayejiamini daima mambo hayo tunaweza kuyatumia katika kutengeneza sera za mataifa yetu na tukakataa kutungiwa sera na mabeberu .

si lazima uwe gaidi ili kuona meme ya bin laden
 
Back
Top Bottom