Sesten Zakazaka
JF-Expert Member
- Sep 10, 2017
- 10,559
- 19,101
Jana jioni tumemzika jamaa mmoja mtu wa makamu kiasi, nadhani umri wake ni kati ya miaka 55 hadi 59 maana nilisikia kwenye salam za rambirambi kua alikua amebakiza miaka kama miwili astaafu utumishi wa uma
Kwenye msiba huo ambapo ni jirani na kwangu (mtaa mmoja) kuna jambo lilikua linanipa udadisi sana. Binti mkubwa wa marehemu ambaye anaweza kua above 30 alikua akilia kwa kuomboleza kwa maneno ya 'mama nisamehe, mama nisamehe mama nisamehe' kana kwamba aliyefariki ni mama yake wakati msiba ni wa baba yake
Watu walikua wanaongea maneno ambayo niliyaona kama utesi(kuteta) na porojo hadi pale nilipomuona mzee mmoja maarufu wa aneo hili ambaye ninaheshimiana nae na yeye hua ananiamini sana. Udadisi wangu ukanisukuma nimuulize mambo kadhaa ya kwenye msiba hasa kuhusu marehemu na familia aliyoicha
Alikua anaongea na mimi kwa mafumbo na kama vile anajambo linalomsumbua. Tulipotoka makaburini nikamuomba mzee wangu huyo tukae sehemu tupate angalau vinywaji baridi akakubali. Tulipokua hapo alinieleza kisa cha kustaajabisha na kukera sana kuhusu marehemu
Mzee akanambia alifanya usuluhishi mara mbili kwenye ndoa ya marehemu kisa marehemu alikua anatoka kimapenzi na mwane wa kumzaa! Yule binti aliyekua anomboleza kwa kumuomba msamaha mama yake
Nikamuuliza haiwezi kua ni issue za ushirikina? Mzee akakataa katakata akasema kwa umri wake na uzowefu wake masuala ya ushirikina mwanaume anafanya mara moja kwa maagizo ya waganga lakini huyo binti na marehemu baba yake walikua wapenzi hasaa wa kubebishana na mama mtu kashawafuma siku moja wakila tunda chumbani kwa binti yake! Na kuanzia hapo wakawa mtu na mke mwenza wakioneana wivu!!!
Huyo mama alileta shauri kwake na mzee mwingine ambaye alishafariki na wakaliongea wakalimaza. Aliporudia tena wakalileta tena kwao na wakafanikiwa tena kulimaliza ingawa ilibidi watumie vitisho fulani kwa yule binti ili kuwafanya waachane jumla na baba yake
Nimekaa natafakari mwanaume unaanzaje kumtongoza binti yako, ukamvua nguo na pichu na kisha uingize dushe!
Binti utamvuliaje pichu baba yako aliyekuzaa!!!! Huoni hata kinyaa basi kama huamini katika laana!? Wanaume wooote duniani usiwaone wa kila aina warefu, wafupi wembamba, wanene, matajiri, wasomi nk...dah binadamu kama kuku saa zingineπππ³
Kwenye msiba huo ambapo ni jirani na kwangu (mtaa mmoja) kuna jambo lilikua linanipa udadisi sana. Binti mkubwa wa marehemu ambaye anaweza kua above 30 alikua akilia kwa kuomboleza kwa maneno ya 'mama nisamehe, mama nisamehe mama nisamehe' kana kwamba aliyefariki ni mama yake wakati msiba ni wa baba yake
Watu walikua wanaongea maneno ambayo niliyaona kama utesi(kuteta) na porojo hadi pale nilipomuona mzee mmoja maarufu wa aneo hili ambaye ninaheshimiana nae na yeye hua ananiamini sana. Udadisi wangu ukanisukuma nimuulize mambo kadhaa ya kwenye msiba hasa kuhusu marehemu na familia aliyoicha
Alikua anaongea na mimi kwa mafumbo na kama vile anajambo linalomsumbua. Tulipotoka makaburini nikamuomba mzee wangu huyo tukae sehemu tupate angalau vinywaji baridi akakubali. Tulipokua hapo alinieleza kisa cha kustaajabisha na kukera sana kuhusu marehemu
Mzee akanambia alifanya usuluhishi mara mbili kwenye ndoa ya marehemu kisa marehemu alikua anatoka kimapenzi na mwane wa kumzaa! Yule binti aliyekua anomboleza kwa kumuomba msamaha mama yake
Nikamuuliza haiwezi kua ni issue za ushirikina? Mzee akakataa katakata akasema kwa umri wake na uzowefu wake masuala ya ushirikina mwanaume anafanya mara moja kwa maagizo ya waganga lakini huyo binti na marehemu baba yake walikua wapenzi hasaa wa kubebishana na mama mtu kashawafuma siku moja wakila tunda chumbani kwa binti yake! Na kuanzia hapo wakawa mtu na mke mwenza wakioneana wivu!!!
Huyo mama alileta shauri kwake na mzee mwingine ambaye alishafariki na wakaliongea wakalimaza. Aliporudia tena wakalileta tena kwao na wakafanikiwa tena kulimaliza ingawa ilibidi watumie vitisho fulani kwa yule binti ili kuwafanya waachane jumla na baba yake
Nimekaa natafakari mwanaume unaanzaje kumtongoza binti yako, ukamvua nguo na pichu na kisha uingize dushe!
Binti utamvuliaje pichu baba yako aliyekuzaa!!!! Huoni hata kinyaa basi kama huamini katika laana!? Wanaume wooote duniani usiwaone wa kila aina warefu, wafupi wembamba, wanene, matajiri, wasomi nk...dah binadamu kama kuku saa zingineπππ³