HadithiZaRuvuly
JF-Expert Member
- Apr 16, 2014
- 369
- 114
[emoji12] [emoji12] [emoji12] usipaniki dda sio mimi vitabu vinasema hivyo kama na wewe ni binadam wazaz wetu ni sokwe hahahaLabda wewe.
na sokwe katokana na nani..............?Vitabu vyote shuleni vinathibitisha hilo kwamba sisi binadamu tumetokana na sokwe je maneno haya ni kweli ?
Na binadamna sokwe katokana na nani..............?
na ukoo wakeLabda wewe.
Hahahaha [emoji2] [emoji2] [emoji2]na ukoo wake
Wazungu na uwongo wao. ..dah!Labda wewe.
Mbona wewe na kima sura hamna tofauti!Labda wewe.
Umeona eeehWazungu na uwongo wao. ..dah!
Mbona wewe na kima sura hamna tofauti!
Ndio mana nikaweka tropic hii ili nijue kitu flaniNa kwa nini bado kuna sokwe? sio kila kinachoandikwa ni kweli.
Sio ujinga na isipokuwa uelewa wako ndio finyu hiv nikuulize wwe umesoma nin kuhusu sokwe katika hiyo shule ulioenda wewKima siyo sokwe.
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Ujinga, usitukane, we jiangalie sura yako sawa kabisa na kima, sokwe. Researchers at the Wellcome Trust Sanger Institute in Cambridge found that our genes and those of the gorilla are 98 per cent identical, although we share around 99 per cent of our make-up with chimpanzees.Kima siyo sokwe.
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]Binadamu asili yake ni primate na kwenye kind hili la primate wapo..wapo chimpanzee..gorilla.. monkey..apes n.k.. kuwa kwenye category moja aimanishi sisi ni nyani..shida ni lugha ya kiswahili Ina matatizo kuifundishia.. mfano tu TWO NIGHTS kwa kiswahili utasemaje?
Hivyo basi si kweli kwamba binadamu alikuwa nyani..
Asili ni sawa na ngozi huwezi kuibadiliJamani kuna yule mama huwa anazunguka sehemu mbalimbali Dar hii ana watoto walemavu wanne wanafanana na masokwe kabisa.
Kila nikimuona huwa nastaaj na kujiuliza maswali mengi yaso majibu.
Mojawapo kati ya maswali yanitatizayo ni kwamba wale watoto kuwa vile ni wamefanana na baba yao?
Maana yeye yupo kawaida tu.
Tatizo nashindwa kumuuliza [emoji24]