JamiiTalks
JF Advocacy Team
- Aug 7, 2018
- 685
- 1,124
Virusi vya #Corona ni familia kubwa ya virusi ambayo ni vya kawaida kwa wanyama. Wakati mwingine, watu huambukizwa virusi hivi ambavyo baadaye vinaweza kuenea kwa watu wengine
Kwa mfano, Ugonjwa wa #SARS (Severe Acute Respiratory Syndrome) uliosababishwa na Virusi vya familia ya Corona (SARS-CoV) mwaka 2003 ulioanzia China, virusi vyake vinahusishwa kutoka kwa Paka
Aidha, MERS (Middle East Respiratory Syndrome) uliogundulika mara ya kwanza mwaka 2012 huko Saudi Arabia ulisababishwa na virusi jamii ya Corona (MERS-CoV) vinavyosambazwa na Ngamia
Kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani (WHO), hadi sasa haijathibitika mnyama gani ni chanzo cha ugonjwa wa COVID19, japo baadhia ya taarifa zinadai ni Popo
Ili kujilinda, mfano unapotembelea soko ya wanyama hai, jaribu kukwepa kugusana na wanyama hao lakini pia kwepa kugusa sehemu walipo wanyama hao
Weka vizuri nyamba mbichi, maziwa na vitu vingine vitokokanavyo na Wanyama ili kuepuka kuambukizwa virusi hivyo kwenye chakula kibichi. Usile vitu kama nyama au maziwa mabichi au yasiyoiva vizuri
Kwa mfano, Ugonjwa wa #SARS (Severe Acute Respiratory Syndrome) uliosababishwa na Virusi vya familia ya Corona (SARS-CoV) mwaka 2003 ulioanzia China, virusi vyake vinahusishwa kutoka kwa Paka
Aidha, MERS (Middle East Respiratory Syndrome) uliogundulika mara ya kwanza mwaka 2012 huko Saudi Arabia ulisababishwa na virusi jamii ya Corona (MERS-CoV) vinavyosambazwa na Ngamia
Kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani (WHO), hadi sasa haijathibitika mnyama gani ni chanzo cha ugonjwa wa COVID19, japo baadhia ya taarifa zinadai ni Popo
Ili kujilinda, mfano unapotembelea soko ya wanyama hai, jaribu kukwepa kugusana na wanyama hao lakini pia kwepa kugusa sehemu walipo wanyama hao
Weka vizuri nyamba mbichi, maziwa na vitu vingine vitokokanavyo na Wanyama ili kuepuka kuambukizwa virusi hivyo kwenye chakula kibichi. Usile vitu kama nyama au maziwa mabichi au yasiyoiva vizuri
Upvote
0