Binadamu anaweza kutumika kama kuni?

Binadamu anaweza kutumika kama kuni?

Wakili wa shetani

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2022
Posts
1,726
Reaction score
3,391
Habari.

Naomba kuuliza kama binadamu anaweza waka moto na kutoa energy. Binadamu ana maji mengi, lakini kama umewahi choma tanuri utaona kwa wanatumia magogo mabichi na yanawaka vibaya mno. Binadamu anaweza waka kama gogo bichi? Ukizingatia ana mafuta ya kutosha kuchochea moto. Au inawezekana kumkausha na kumtumia kama kuni?🤔 Vipi aliyekufa kwa kiu, anawaka vizuri. Uwakaji wa mifupa uko vipi?

Namaanisha binadamu anawaka exothermically au endothermically.
 
Hivi unajua harufu itayotoka hapo ilivuokuwa kali??
 
Kuna mtu umemuua unatafuta mbinu ya kuteketeza mwili
 
Umenikumbusha mwaka 2006 hivi kule tanga kuna sehemu inaitwa mikanjuni kule mwizi akikamatwa kama wamekupenda sana walikua wanakuua kwanza kisha wanakuchoma moto ila kama ulikua wanakusaka muda mrefu basi walikua wanamchoma mwizi akiwa bado hai na siku hiyo huku kutaka kuona kila kitu ndipo nikaenda kuona mwizi akichomwa daaaah kwa kweli ni miongoni mwa kumbu kumbu mbaya sana inatisha wazee mtu anawaka kama gesi ya songo songo
 
Back
Top Bottom