Binadamu by AY featuring Maurice Kirya Lyrics

Binadamu by AY featuring Maurice Kirya Lyrics

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
2,780
Reaction score
6,607
Binadamu by AY featuring Maurice Kirya



This is A.Y from Tanzania, Maurice Kirya and Hamdee from Uganda.

It’s a dedication to all African who living in poverty.



Verse 1

Usiombee mambo yaharibike.

Pesa usiishike, mfano wa mti upukutike.

Utaonekana si lolote si chochote.

Utaonekana karaha kwa watu siku zote.

Walimwengu hawatakupa mikono.

Magonjwa yatakuvuta ndani ya shimo.

Utakata tamaa, utaandama na balaa.

Pumzi hutovuta kwa raha, kweli usiombee kuwahi.

Survive for fittest; never trust nobody in this world of weakness

Watakukana hata kama ndugu zako.

Watadiriki sema hawajui hutokako

Mama acha kulia, Hayo uliyonayo ni majaribu tu ya dunia. Ipo siku mambo yako yatatulia.

Utasahau hata Mabaya ya zamani uliyopitia ooh hii dunia‚



Chorus

Bagalalinaa, Gendo kole,

You should think about tomorrow

Not only today

Bagalalinaa, Gendokolee

Uuh, Gendokoleee

Yeeeh



Verse 2

Wapo wapi marafiki uliokuwa nao

Enzi zile pesa imekutembelea

Wako wapi sasa? Hawapo wamekukimbia

Sasa huko waliko tayari wanakukandia.

Ada ya watoto hujalipia, kodi ya chumba nayo unadaiwa,

unazidi changanyikiwa. Hata unajuta oh kwanini ulizaliwa.

Piga moyo konde, Maisha uyashinde.

Bado safari ndefu yenye miba na mabonde

Usiweke kinyongo hata kama walikutupa

Remain strong in this world.

Don’t be jealous, Dats all‚



Chorus

Bagalalinaa, Gendo kole,

You should think about tomorrow

Not only today

Bagalalinaa, Gendokolee

Uuh, Gendokoleee

Yeeeh



Bridge

Binadamu sio watu.

Ukiwa na shida hutowaona.

Ona sasa wamekimbia.

Ona sasa wamekimbia.

Chorus
 
Back
Top Bottom