Binadamu Mtakatifu
JF-Expert Member
- Jan 6, 2021
- 4,226
- 8,879
Moja ya jambo ambalo nakaaa muda na kuwaza ni kuwa Maisha na vilivyomo ndani yake.
Niukweli usio pingika na Uko wazi kuwa haya maisha yanatuendesha yatakavyo.
Naukifuatilia kwa karibu ni kuwa anayeendesha Maisha ni Mungu au Shetani.
Mfano tu labda unataka kiwa mtakatifu uwe Mwaminifu kwa Mungu sasa ofisi inaanza kubadilika mazingira ya ganji ambayo ni dhambi yanaongezea mara uzinzi huo vimini na visuruali harufu ya wingi vinaanza kukuandama Lazima tu Uanguke.
Binafsi siwalaumu baadhi ya watu waliopo kuzimu ni maisha ndio yaliwagharibu pakubwa sote tunaweza kwenda uko Maisha ndio yatatupangia.
Niukweli usio pingika na Uko wazi kuwa haya maisha yanatuendesha yatakavyo.
Naukifuatilia kwa karibu ni kuwa anayeendesha Maisha ni Mungu au Shetani.
Mfano tu labda unataka kiwa mtakatifu uwe Mwaminifu kwa Mungu sasa ofisi inaanza kubadilika mazingira ya ganji ambayo ni dhambi yanaongezea mara uzinzi huo vimini na visuruali harufu ya wingi vinaanza kukuandama Lazima tu Uanguke.
Binafsi siwalaumu baadhi ya watu waliopo kuzimu ni maisha ndio yaliwagharibu pakubwa sote tunaweza kwenda uko Maisha ndio yatatupangia.