Binadamu tunakula chakula kingi kuliko mahitaji ya mwili

LEO unaongea vitu vizuri
 
Hahahah! Kuwa serious mkuu [emoji23][emoji23]
 
Sky Eclat
Huo mlo unawafaa watu wa mjini (Dsm )
Kwa huku kwetu mikoani tumbo litabaki jeupe.

Huo mlo Kwa show za usiku, utalia kama yule kijana wa GuDume aliyezimia!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Vyakula vya zamani Matunda mizizi na mboga za majani ndio vyakula Muhimu kwa Afya ya binadamu.Vyakula vya siku hizi vyote ni vyakula feki havifai kiafya ndio maana tunapatwa na magonjwa ya ajabu yasiyoweza kutibika Ma-Hospitalini tunakula vyakula Feki ambavyo vimetengenezwa kwa mikono ya binadamu. Tumeacha vyakula vyetu vya asili alivyotuumbia Mungu tunakula vyakula vyenye Sumu na ni vyakula feki aka Junk food tutakosa kweli kupatwa na maradhi ya ajabu? Tuache kula vyakula vyenye Sumu na pia ni vyakula Feki vyakula vya viwandani turudi kwenye asili yetu ya vyakula vya asili maradhi yatatukimbia.
 
Shukran mkuu ndiyo naans nililweka ndizi mbivu kwa kifungua kinywa, tango, nyanya makes yai pamoja na yai kwa lunch.
 
Wengi wetu tumekulia kwenye dhiki utoto wooote ugali mlenda,wali skukuu Leo ukue unapata ka salio si haba lazima usahaulishe tumbo machungu
 
Wewe mwanamke ni mvivu sana kupika kwenye thread zako nyingi imejidhihirisha hivyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…