Binadamu tungekuwa na domo kama mamba

Binadamu tungekuwa na domo kama mamba

karv

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2019
Posts
1,802
Reaction score
3,253
~Tusingepita kwenye ct scan
~Tungeshindwa kupanda ngazi
~Tungeshindwa kukumbatiana
~Tungeshindwa kupika
~Tungeshindwa kukimbia kwa kupokezana vijiti.
~Tungeshindwa kupuliza tarumbeta
~Tungeshindwa kuvaa barakoa
~Lipstick & lipshine zingeisha kwa mpako mmoja tu
~Selfie ingekuwa shida
~ Tungeshindwa kupiga zeze

Nyingine mtaongeza wenyewe
FB_IMG_16583455137087415.jpg
FB_IMG_16583455093650379.jpg
FB_IMG_16583455050671736.jpg
FB_IMG_16583455001993938.jpg
FB_IMG_16583454456655551.jpg
FB_IMG_16583454770875975.jpg
 

Attachments

  • FB_IMG_16583454693421237.jpg
    FB_IMG_16583454693421237.jpg
    42.1 KB · Views: 11
  • FB_IMG_16583454693421237.jpg
    FB_IMG_16583454693421237.jpg
    42.1 KB · Views: 12
  • FB_IMG_16583454954022917.jpg
    FB_IMG_16583454954022917.jpg
    51.1 KB · Views: 13
  • FB_IMG_16583454870570566.jpg
    FB_IMG_16583454870570566.jpg
    43.8 KB · Views: 14
  • FB_IMG_16583455172676358.jpg
    FB_IMG_16583455172676358.jpg
    39.5 KB · Views: 11
Back
Top Bottom