Binadamu wa kwanza kupandikizwa moyo wa Nguruwe, afariki Dunia miezi 2 toka apandikiziwe

Hivi ulivyovitaja vyote vinaliwa mkuu ila wewe tu ndiye hauvili
Nalog off
 
Hivi ulivyovitaja vyote vinaliwa mkuu ila wewe tu ndiye hauvili
Nalog off
Sasa hayo ni maoni yako, sio yangu, mimi najua haliwi, nimeelekezwa hivyo, yani nyama yake ni sawa na nyama ya mbwa, wapo wanaoila ila hivyo ndivyo nilivyofundishwa kuiona
 
Hakuna uharamu wa nusu nusu, kitu either ni kibaya au ni kizuri
Hiiiii!!
Mbona mbwa ni haramu kumuacha akulambelambe ukiwa unajiandaa kufanya ibada kwa maana anatoa udhu ila bado mbwa huyo huyo tunafuga kwaajili ya ulinzi?
Kwasababu uharamu wake upo hapo kuwa anatoa udhu kumuacha akulambelambe kabla ya ibada, ila huo uharamu haujaelekezwa kuwa ndio asifugwe kupata ulinzi

Kwa mtazamo wa uislamu nguruwe anapaswa aachwe tu awe mnyama wa porini huko kama walivyo swala ama pundamilia, asiliwe
 
Sasa hayo ni maoni yako, sio yangu, mimi najua haliwi, nimeelekezwa hivyo, yani nyama yake ni sawa na nyama ya mbwa, wapo wanaoila ila hivyo ndivyo nilivyofundishwa kuiona
Basi sawa
Nalog off
 
Wamjaribu na kijana,maana wakifaulu dunia imefaulu
 
Kitu kikishakua haramu basi uharamu wake unabeba kila kitu kinachotaka nahiyo haramu huwez kujinufaisha nacho kwa kisingizio hicho.
 
Miezi miwili Ni mingi wamejitahidi kwa kuanza!I hope waliendekeza na research zaidi in future Mambo yatakaa sawa.Kongole kwa Daktari na timu nzima...na R .I.P kwa mgonjwa
 
Wewe ndo umepotea kabisa na yaweza kuwa ni mbumbumbu kwa kukosa elimu au hujawahi pata changamoto hapa duniani au kichwa chako badala ya kubeba ubongo wewe unakitumia kubebea mafenesi
Mwache tatizo kichwa jaman.Mpaka hapo kwamba ameweza kuishi miezi miwili tayari ni hatua.Watatafiti wajue nn kilisababisha afe wakikipatie suluhu ndo tayari inakuwa tiba kamili.

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Ningeshangaa sana km angedumu Mungu hajaribiwi
Mgunduzi na aligefanya upasuaji ni Muisilamu na Team yake pia wengi ni waisilamu na kabla ya kutelekeza hili jambo pia wameuliza kwa scholars mbalimbali, kidini haijakatazwa.

Anaita Muhammad Mouhidun.
 
takibiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiriiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
 
Kama wewe hutumii usilazimishe kila mtu awe kama ww......japo siku ukipata roast na ndizi hata imani yako utaikana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…