Binadamu wa kwanza kuzaliwa na kuua

Kwa hio ww unataka kuniambia sio mwa-africa. Kama ni mwa-afrika basi pole na wewe.

But siamini ktk Uzungu, Naamini yupo Muumbaji halisi, ambaye ni Mungu.
Neno la Mungu ndio uthibitisho wa kile ninachoamini.
Bible ilikuepo toka ma-million ya miaka iliopita.
Na vizazi vyote vitapita lakini Bible itakuepo
 

Acha kudanganya watu wewe, wengine tushawaza kuhusu hili swala tukawazua mpaka vichwa vikauma

Bible ni kitabu kigumu sana, Biblia inaeleza wazi kwamba, na baada ya Habili kuuawa, Adam akamjua mkewe Hawa kwa mala ya tatu akamzaa mtoto wa kiume wakampa jina Seti, wakamtukuza Mungu kwa kuwaondolea huzuni na kuwapatia mbadala ya mtoto wao aliyeuawa.

Hakuna sehemu kwenye biblia kumeandikwa ulivyoelezea hapa na mtoto wa tatu wa Adam na Eva ni Seti ambaye alizaliwa baada ya Habil kufa..swala la hao watu Cain alokuwa anaogopa watamuua walitoka wapi HALIPO.
 

Lugha gongana
 
Duh ! Kwa majibu yaliyotolewa hapa, inaonyesha dhahiri watu wanaomwamini Mwenyezi Mungu idadi inazidi kuporomoka kwa kasi. Hatari kubwa hii.
Kumbe nawe umeligundua hilo mkuu nilifikiri ni mim tu.inaonesha jinc gani watu hawamjui Mungu kizazi hiki.
 
Hahahaha, nimecheka sana niliposoma comment yako, maana navyoona inakugeukia na kukulenga wewe mwenyewe tena. Sijajua umri wako, lakini naamini ni mtu mzima mwenye kuweza kudadavua mambo. Hivi Ukristo uliletwa na nani?
 
Jaman msiwe wavivu wa kusoma ndo maana watu wamekuwa wanajitoa mhanga na kujiua kwa kutojua yaliyoandikwa ..maaana mambo ya dini ni magumu sana unahitaji upate mwalimu wa kweli.

Sasa kuhusu hao watu waliokua wapo kipindi cha adam ni malaika waaasi wengine wanaita majini au mapepo kwa msaada zaid Google neno Nephilim ndo utapata jibu ya hao watu
 


Nianze kushukuru kwa ufafanuzi wako huo mzuri ila nianze hivi, Adam na Hawa walikuwa na watoto 3 , Cain, Abel pamoja na Seth aliyezaliwa baada ya Abel kuuawa.

Cain alifukuzwa pale alipokuwa anaishi na akaenda mbele zaidi, ila alikuwa na hofu kuwa watu wakimwona watamuua ndio maana akawekewa alama usoni.

Swali wale watu Cain aliiogopa watumwua ni akina nani na walitoka wapi? Naomba kuwakilisha.
 
Simu ikiwa dukani huwa haiwekewi password lkn ikinunuliwa mtumiaji ndio huiekea password.
amini unavyoweza hayo ni maamuzi yako,
lkn usiache kutanguliza akili yako kabla ya kuamini.

naweza kuwaza, naweza kuandika.
wazo huleteleza matendo lkn maneno ni njia ya mawasiliano.

wazazi hurithisha kwa watoto wao,watoto nao huogopa kuhoji kwani wanauoga kwasababu wameogopeshwa! kipimo cha uhakika huchukua kitambo lkn kipimo kisicho uhakika hakichukui kitambo.
 

Uko sahihi, kuamini ni kuamini na kushikilia kile unachokiamini bila kutumia akili.
 
Mkuu swali lako kuna sehemu nimelijibu hebu itafute hiyo comment uisome
 
Mkuu swali lako kuna sehemu nimelijibu hebu itafute hiyo comment uisome
Usikwepe swali kiujanja ujanja. Hebu toa ufafanuzi. Umesema wakati habil anauawa tayari kulikuwa na watu wengine wengi huku kuna wanaodai mtoto wa tatu wa Adam alipatikana baada ya habil kuuawa. Sasa hao watu wengine wengi unaosema wametoka wapi?
 
yn hii ni hadithi mpya kabisa kuwahi kuickia tangu nilipoliona jua, kweli hizi ni safari saba za Sindibadi Baharia
 
Binadamu wa kwanza kuzaliwa na kuua aliishi Mabibo Beach.....wafia dini acheni upotoshaji
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]



Kama Mungu alimuumba Adamu na Eva na wao wakazaa watoto wawili wa kiume. Ambao ni Kaini na Habil. Na baadae Kaini akamuua Habili.

Swali;

Binadamu waliweza kuzaanaje mpk kufikia huu wingi tuliofikia hapa?
Au Adamu na Eva walizaa watoto wengine?
Au Habil aliamua kuzaa na mama ake ambye ni Eva?
[emoji15] hii kitu inaniacha hewani sana...

Embu ngoja nisiendelee kuchambua sana maana mtasema nakufuru
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 

Mkuu maandiko yako umetoa wapi? Tupe chanzo
 

Hiki. Kitabu kina majibu yote
[emoji2] [emoji2] [emoji2]
 

Ukiwa curious hivyo utasikia wewe 'amini' tu....Wataanza kugeuka kukuhukumu "huna imani wewe" ,utaenda motoni"....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…