Katika utafiti wa jiografia huko marekani,imegundulika kuwa katika sayari ya jupiter pia huishi binadamu kama sayari yetu hii ya dunia,Tofauti yetu na wao ni kwamba sisi twazaliwa kwa kupitia mama zetu baada ya kubeba mimba miezi 9 lakini wao huko katika sayari yao ya jupiter hutolewa kama vifaranga vya mbuni baada ya kukaa katika yai kwa muda wa mwaka 1 na miezi 7.Wanaishi maisha mazuri sana kama ya Adamu na Eva.Hawaugui wala kufa bali wakizeeka huyeyuka na kupaa mbinguni.Wanaishi maisha ambayo hayapo duniani,hakuna magari wala majumba zaidi ya yote huko hakuna UKIMWI ******HII NDO JUPITER
Huyo kiumbe anaetaga mayai makubwa kiasi hicho ni binadamu ama..? hao hata ukiwaangalia maumbo yao kama binadamu na kutaga mayai ya hivyo duh! kamba.......
nitakwaminije kwamba hiyo taarifa ni kweli..?