Binadamu wapya wagundulika sayari ya Jupiter

Status
Not open for further replies.

Eddy Love

JF-Expert Member
Joined
Jul 25, 2011
Posts
13,654
Reaction score
8,564
Katika utafiti wa jiografia huko marekani,imegundulika kuwa katika sayari ya jupiter pia huishi binadamu kama sayari yetu hii ya dunia,Tofauti yetu na wao ni kwamba sisi twazaliwa kwa kupitia mama zetu baada ya kubeba mimba miezi 9 lakini wao huko katika sayari yao ya jupiter hutolewa kama vifaranga vya mbuni baada ya kukaa katika yai kwa muda wa mwaka 1 na miezi 7.Wanaishi maisha mazuri sana kama ya Adamu na Eva.Hawaugui wala kufa bali wakizeeka huyeyuka na kupaa mbinguni.Wanaishi maisha ambayo hayapo duniani,hakuna magari wala majumba zaidi ya yote huko hakuna UKIMWI ******HII NDO JUPITER
 
imekaa very v shallow in-short jifunze kusoma ujiridhishe alafu uje jmii intelijensia sio unasikia habar unaleta humu
 
Huyo kiumbe anaetaga mayai makubwa kiasi hicho ni binadamu ama..? hao hata ukiwaangalia maumbo yao kama binadamu na kutaga mayai ya hivyo duh! kamba.......
nitakwaminije kwamba hiyo taarifa ni kweli..?
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…