Nehemia Kilave
JF-Expert Member
- Jan 9, 2022
- 1,414
- 3,118
Huwa tunakosa focus , mabango mengi kila bango lina ujumbe wako ,sasa watawala wafanyie kazi kipi ?
Katiba mbovu ndio chanzo cha kila kitu hasa upande wa madaraka ya Rais na muundo wa tume ya uchaguzi .
Wateuliwa wa rais ni wengi sana na wote wanafanya ili waendelee kubaki kwenye hizo nafasi ,je unadhani tutakuwa salama ?
Katiba ikishindwa kulinda mali za Nchi nani ataweza ?
Katiba mbovu ndio chanzo cha kila kitu hasa upande wa madaraka ya Rais na muundo wa tume ya uchaguzi .
Wateuliwa wa rais ni wengi sana na wote wanafanya ili waendelee kubaki kwenye hizo nafasi ,je unadhani tutakuwa salama ?
Katiba ikishindwa kulinda mali za Nchi nani ataweza ?