Binafsi namuombea Luhaga Mpina arudi Bungeni na kuendelea na Uwaziri

Binafsi namuombea Luhaga Mpina arudi Bungeni na kuendelea na Uwaziri

Koryo2

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2016
Posts
2,056
Reaction score
2,519
Mimi ni mwananchi wa kawaida sana kwa kweli ninamuombea Mhe. L. Mpina arudi mjengoni na kumuomba Rais Magufuli amteue tena kuwa Waziri wa Mifugo na Maendeleo ya uvuvi.

Mhe. Mpina amefanya makubwa katika kipindi chake cha uwaziri. Pamoja na wengi kumlaumu kule mwanzo lakini sasa hivi watu wa Kanda ya Ziwa tunafurahia matunda ya Mhe. Mpina.

Huku Kanda ya Ziwa idadi ya samaki wameongezeka sana hasa Sangara na bei imekuwa nafuu sana.

Leo nimeshuhudia sangara aliye na kilo 80 hapa Mwanza na haya ni matokeo ya kuzingatia sheria, taratibu na kanuni aliyokazia Mhe. Mpina.

Wengi walimlaumu mwanzo lakini sasa wanafurahi.

Binafsi namwombea Mhe. Mpina arudi mjengoni na ateuliwe kushika wadhifa wa Waziri wa Mifugo na Maendeleo ya Mifugo.
 
Kwa teua ya hovyo hovyo safari pengine akarudi lakini kama hakuna msukuma wa kuteuliwa.
 
Ateuliwe sababu kafanya mazuri kanda ya ziwa ,nyumbani kwao sawa bana,we endeleza tu mambo ya ukanda.
 
Kwani GOGOKI2014 amesemaje?
😁😂
IMG-20201203-WA0011.jpg
 
Kwamba anaumwa hoi, tunamuombea Mungu amponye
Hatari sana ,tutende haki ,duniani tunapita ,vyeo ,madaraka ni vya kupita ,unaenda kumchomea mtu nyavu wakati ndio mtaji/jembe lake ,manung'uniko yake lazima upate laana.
 
Mimi ni mwananchi wa kawaida sana kwa kweli ninamuombea Mhe. L. Mpina arudi mjengoni na kumuomba Rais Magufuli amteue tena kuwa Waziri wa Mifugo na Maendeleo ya uvuvi.

Mhe. Mpina amefanya makubwa katika kipindi chake cha uwaziri. Pamoja na wengi kumlaumu kule mwanzo lakini sasa hivi watu wa Kanda ya Ziwa tunafurahia matunda ya Mhe. Mpina.

Huku Kanda ya Ziwa idadi ya samaki wameongezeka sana hasa Sangara na bei imekuwa nafuu sana.

Leo nimeshuhudia sangara aliye na kilo 80 hapa Mwanza na haya ni matokeo ya kuzingatia sheria, taratibu na kanuni aliyokazia Mhe. Mpina.

Wengi walimlaumu mwanzo lakini sasa wanafurahi.

Binafsi namwombea Mhe. Mpina arudi mjengoni na ateuliwe kushika wadhifa wa Waziri wa Mifugo na Maendeleo ya Mifugo.
Uliwahesabu samaki?
 
Zitto Kabwe kagaragazwa kwny sanduku la kura, badala ya kwenda Mahakamani kaenda kushtaki kwa 'Babu' zake, msomi mzima hovyooooo
 
Hatari Mkuu!! Hapo lazima wang'ate Shuka.....CHIGOMA NISHIDA NIKIJA DAR NA DEBE ZANGU ZA MAWESE NI HAPA SANA.
Nyamnyusi Kasulu Kigoma Tanzania 😂🤣😁😁😅😅





Haya Mambo Ni Moto
Mnakumbuka Hata
Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania
Alisema Wakati Anajenga Daraja Mauzauza Yalikuwepo
 
Mimi ni mwananchi wa kawaida sana kwa kweli ninamuombea Mhe. L. Mpina arudi mjengoni na kumuomba Rais Magufuli amteue tena kuwa Waziri wa Mifugo na Maendeleo ya uvuvi.

Mhe. Mpina amefanya makubwa katika kipindi chake cha uwaziri. Pamoja na wengi kumlaumu kule mwanzo lakini sasa hivi watu wa Kanda ya Ziwa tunafurahia matunda ya Mhe. Mpina.

Huku Kanda ya Ziwa idadi ya samaki wameongezeka sana hasa Sangara na bei imekuwa nafuu sana.

Leo nimeshuhudia sangara aliye na kilo 80 hapa Mwanza na haya ni matokeo ya kuzingatia sheria, taratibu na kanuni aliyokazia Mhe. Mpina.

Wengi walimlaumu mwanzo lakini sasa wanafurahi.

Binafsi namwombea Mhe. Mpina arudi mjengoni na ateuliwe kushika wadhifa wa Waziri wa Mifugo na Maendeleo ya Mifugo.
Kakutuma umupigie Promo mtandaoni. Janja yenu tuishaijua. Alichofanya ni kusimamia sheria tu hata wew unaweza, acha promo
 
Back
Top Bottom