Binafsi nimefurahishwa sana Freeman Mbowe Kukataliwa kwenye Sanduku la Kura

Binafsi nimefurahishwa sana Freeman Mbowe Kukataliwa kwenye Sanduku la Kura

Fortilo

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2012
Posts
5,807
Reaction score
17,416
Niweke wazi msimamo wangu toka awali, kwamba nilikuwa naunga mkono uongozi wa ziada wa Freeman Mbowe kwa miaka mingine mitano.

Lakini zaidi ningependa aondoke kwa kupewa heshima anayostahili, sio kubezwa na Kupakaziwa matusi kama vile yeye ni stranger CHADEMA.

Kampeni za kumuondoa zimejaa fitna, kashfa za kutunga, uzushi, wivu na ufitini.... Kuna jamaa alipitiliza mpaka sasa yupo Jela.

Kuna watu hawakuipenda CDM kama Chama, ila walitumia huu upenyo wa kumsimanga kama excuse ya kuichafua zaid CDM.

Toka awali aliseme yeye ni vyema akakataliwa na wana CDM wenyewe kwenye sanduku la kura ( which they did) kuliko kukataliwa na watu wanamchukia yeye personally na ambao wala hawajui.

Sasa walioshinda hawakujiandaa, walijua ni mapambano tu na walipanga kuyaendeleza baada ya Uchaguzi.

Nimefurah sana wamepata walichokitaka..

Sasa ni muda wa kutekeleza what you preach...

Jaribio kubwa kwa vyama vya upinzani Tanzania ni fedha... Watu wasipolipwa huwa wanasaliti harakati.... Halina ubishi.. Covid na wengine wengi walioaminiwa walifanya hivyo wapo wengine ni mawaziri kwa sasa.

Sasa hawa watu waliogombana kaz ya kuwaunganisha ni kama itakuwa ngumu sana...

Angalao walioondoka hapo Kabla wanaonekana kama walitunza sana heshima ya Freema Mbowe kuliko waliobaki sasa...which is not okay, but if at all... Haya wanayoyaita mapungufu ya FAM sidhan kama kuna mchaguliwa hata mmoja mwenye uthubutu wa kuyatelekeza..

Sasa CHADEMA ni kama imekuwa na Counsellors wa kutosha mitandaoni..

Brainy kama kina Nshala hawawez kufanya confrontational politics comes what may...

Vijana wengi wa sasa ni kama wana mihemko tu, ukiongea nao Sentens moja au mbili unaona wanachochora mada...

Chuki, Wivu, Fitna huwa hazijengi na hakuna future kwenye hate .

Anyways im happy kwamba FAM ameshindwa, waliotaka kufanya mapambano ya ndani baada ya Uchaguzi wanakutwa na jambo jipya...

Muda wa kusheherekea hawana... Its tough out there... Na kiatu kikitembea 2025 kama ilivyokuwa 2020..game is over...

Ngoja picha ziongee👇


Screenshot_20250123-221032.png
Screenshot_20250123-213822.png
Screenshot_20250123-211247.png
Screenshot_20250123-202541.png
Screenshot_20250123-202541.png
Screenshot_20250123-202723.png
Screenshot_20250123-202541.png
Screenshot_20250123-202514.png
 

Attachments

  • Screenshot_20250123-221004.png
    Screenshot_20250123-221004.png
    658.1 KB · Views: 1
  • Screenshot_20250123-203037.png
    Screenshot_20250123-203037.png
    179.4 KB · Views: 2
  • Screenshot_20250123-202852.png
    Screenshot_20250123-202852.png
    439 KB · Views: 1
Labda zile hesabu za kupata pesa kutoka kwa wanachama alizokuwa anapiga Lema zitadhihirika.
Alisema tatizo ni hamasa tu ilikosekana kwa wanachama ndio maana walikuwa hawachangii.
 
Uchaguzi umeisha tuungane tupambane na huu utawala wa Kiimla wa CCM.

Energy yote tuielekeze huko na sio kutengeneza Divisions.

PEOPLE'S POWEEEEER!!!!! NO HATE NO FEAR
 
Niweke wazi msimamo wangu toka awali, kwamba nilikuwa naunga mkono uongozi wa ziada wa Freeman Mbowe kwa miaka mingine mitano.

Lakini zaidi ningependa aondoke kwa kupewa heshima anayostahili, sio kubezwa na Kupakaziwa matusi kama vile yeye ni stranger CHADEMA.

Kampeni za kumuondoa zimejaa fitna, kashfa za kutunga, uzushi, wivu na ufitini.... Kuna jamaa alipitiliza mpaka sasa yupo Jela.

Kuna watu hawakuipenda CDM kama Chama, ila walitumia huu upenyo wa kumsimanga kama excuse ya kuichafua zaid CDM.

Toka awali aliseme yeye ni vyema akakataliwa na wana CDM wenyewe kwenye sanduku la kura ( which they did) kuliko kukataliwa na watu wanamchukia yeye personally na ambao wala hawajui.

Sasa walioshinda hawakujiandaa, walijua ni mapambano tu na walipanga kuyaendeleza baada ya Uchaguzi.

Nimefurah sana wamepata walichokitaka..

Sasa ni muda wa kutekeleza what you preach...

Jaribio kubwa kwa vyama vya upinzani Tanzania ni fedha... Watu wasipolipwa huwa wanasaliti harakati.... Halina ubishi.. Covid na wengine wengi walioaminiwa walifanya hivyo wapo wengine ni mawaziri kwa sasa.

Sasa hawa watu waliogombana kaz ya kuwaunganisha ni kama itakuwa ngumu sana...

Angalao walioondoka hapo Kabla wanaonekana kama walitunza sana heshima ya Freema Mbowe kuliko waliobaki sasa...which is not okay, but if at all... Haya wanayoyaita mapungufu ya FAM sidhan kama kuna mchaguliwa hata mmoja mwenye uthubutu wa kuyatelekeza..

Sasa CHADEMA ni kama imekuwa na Counsellors wa kutosha mitandaoni..

Brainy kama kina Nshala hawawez kufanya confrontational politics comes what may...

Vijana wengi wa sasa ni kama wana mihemko tu, ukiongea nao Sentens moja au mbili unaona wanachochora mada...

Chuki, Wivu, Fitna huwa hazijengi na hakuna future kwenye hate .

Anyways im happy kwamba FAM ameshindwa, waliotaka kufanya mapambano ya ndani baada ya Uchaguzi wanakutwa na jambo jipya...

Muda wa kusheherekea hawana... Its tough out there... Na kiatu kikitembea 2025 kama ilivyokuwa 2020..game is over...

Ngoja picha ziongee👇


View attachment 3211772View attachment 3211774View attachment 3211775View attachment 3211778View attachment 3211779View attachment 3211780View attachment 3211782View attachment 3211784
Mbona wachaga wametaharuki wote?
Kulikuwa na saccos yenu?
 
Uchaguzi umeisha tuungane tupambane na huu utawala wa Kiimla wa CCM.

Energy yote tuielekeze huko na sio kutengeneza Divisions.

PEOPLE'S POWEEEEER!!!!! NO HATE NO FEAR
Watu wana hasira na FAM bado, unfortunately.
 
Labda zile hesabu za kupata pesa kutoka kwa wanachama alizokuwa anapiga Lema zitadhihirika.
Alisema tatizo ni hamasa tu ilikosekana kwa wanachama ndio maana walikuwa hawachangii.
Wananchi wa Tanzania hawana tabia ya kuchangia siasa za upinzani..

Hiki kitu tusahau, angalao kwa muda
 
Mbona wachaga wametaharuki wote?
Kulikuwa na saccos yenu?
Wachaga kwa idadi yao ni kama wangapi hapa Tanzania masta?
Mtoe Godbless Lema..
 
Ingia twita uone walivyochachamaa
No way, Sasa usilojua ushindi wa Lissu sio issue ya Wachagga... Ni issue ya Income brackets..

Kuna wachagga kibao wanampenda kwa misimamo yake mikali na Wengine wale conservative with good income wanampenda Mbowe...

Issue ya Wachagga na Chadema ilisukwa kimkakati sana ..

Bahati mbaya kuna team imeitumia hiyo karata kwenye chaguzi za ndani..

Mungu mkubwa yaliyotokea yametokea, watasema nini kwa sasa?
 
Niweke wazi msimamo wangu toka awali, kwamba nilikuwa naunga mkono uongozi wa ziada wa Freeman Mbowe kwa miaka mingine mitano.

Lakini zaidi ningependa aondoke kwa kupewa heshima anayostahili, sio kubezwa na Kupakaziwa matusi kama vile yeye ni stranger CHADEMA.

Kampeni za kumuondoa zimejaa fitna, kashfa za kutunga, uzushi, wivu na ufitini.... Kuna jamaa alipitiliza mpaka sasa yupo Jela.

Kuna watu hawakuipenda CDM kama Chama, ila walitumia huu upenyo wa kumsimanga kama excuse ya kuichafua zaid CDM.

Toka awali aliseme yeye ni vyema akakataliwa na wana CDM wenyewe kwenye sanduku la kura ( which they did) kuliko kukataliwa na watu wanamchukia yeye personally na ambao wala hawajui.

Sasa walioshinda hawakujiandaa, walijua ni mapambano tu na walipanga kuyaendeleza baada ya Uchaguzi.

Nimefurah sana wamepata walichokitaka..

Sasa ni muda wa kutekeleza what you preach...

Jaribio kubwa kwa vyama vya upinzani Tanzania ni fedha... Watu wasipolipwa huwa wanasaliti harakati.... Halina ubishi.. Covid na wengine wengi walioaminiwa walifanya hivyo wapo wengine ni mawaziri kwa sasa.

Sasa hawa watu waliogombana kaz ya kuwaunganisha ni kama itakuwa ngumu sana...

Angalao walioondoka hapo Kabla wanaonekana kama walitunza sana heshima ya Freema Mbowe kuliko waliobaki sasa...which is not okay, but if at all... Haya wanayoyaita mapungufu ya FAM sidhan kama kuna mchaguliwa hata mmoja mwenye uthubutu wa kuyatelekeza..

Sasa CHADEMA ni kama imekuwa na Counsellors wa kutosha mitandaoni..

Brainy kama kina Nshala hawawez kufanya confrontational politics comes what may...

Vijana wengi wa sasa ni kama wana mihemko tu, ukiongea nao Sentens moja au mbili unaona wanachochora mada...

Chuki, Wivu, Fitna huwa hazijengi na hakuna future kwenye hate .

Anyways im happy kwamba FAM ameshindwa, waliotaka kufanya mapambano ya ndani baada ya Uchaguzi wanakutwa na jambo jipya...

Muda wa kusheherekea hawana... Its tough out there... Na kiatu kikitembea 2025 kama ilivyokuwa 2020..game is over...

Ngoja picha ziongee👇


View attachment 3211772View attachment 3211774View attachment 3211775View attachment 3211778View attachment 3211779View attachment 3211780View attachment 3211782View attachment 3211784
Binafsi nimefurahia sana jinsi mlivyochafuana maana ndivyo mumekuwa mnafanya Kwa watu wenye maoni tofauti na nyie huku mkijipa umalaika.

Nyie washenzi ndio Huwa mnaita wenzenu chawa with nonsense reasoning.Mumefika mbali Hadi kumchagua Rais Kwa sababu mnazozijua wenyewe.

This time mumeparuana wenyewe Kwa wenyewe hapo ndio furaha yangu na Bado maana inaonekana hamjaridhika na hamjasameheana.
 
Binafsi nimefurahia sana jinsi mlivyochafuana maana ndivyo mumekuwa mnafanya Kwa watu wenye maoni tofauti na nyie huku mkijipa umalaika.

Nyie washenzi ndio Huwa mnaita wenzenu chawa with nonsense reasoning.Mumefika mbali Hadi kumchagua Rais Kwa sababu mnazozijua wenyewe.

This time mumeparuana wenyewe Kwa wenyewe hapo ndio furaha yangu na Bado maana inaonekana hamjaridhika na hamjasameheana.
Kuna kisiwa cha dirty game kipo Kenya na CH pambaneni nacho kiulalo ulalo...

Kuna wengine wanakula training za matusi hapo Nairobi na kurudi....

Siasa ni nguvu ya hoja, lakini kusifia kila kitu au kukosoa kila kitu stuka, watu wanalipwa buku ten ten... Hili halina mjadala 😂
 
Back
Top Bottom