Bingwa ngao ya Jamii 2024 ni Simba au Azam

Bingwa ngao ya Jamii 2024 ni Simba au Azam

Ng'wanamangilingili

JF-Expert Member
Joined
Aug 22, 2015
Posts
5,778
Reaction score
4,859
Sitikisiki na sipigi ramli.

Iko hivi, teams zote ni nzuri sana, ila ni hivi iwapo Simba ataingia fainali basi atakua bingwa iwapo atakutana na Azam FC ila Yanga akiingia fainali na Azam atapigwa na hata akiingia na Coastal itakua kwa mbinde sanaa. YANGA wako bora sana ila kwao ni ligi si hapa.

Sijongelea sana Coastal Union kwa sababu wanapitwa na Azam ila ukiona wameingia fainali basi watazuiwa na Simba tu kama ni Yanga atatoboka kwa mbinde.
 
Sitikisiki na sipigi ramli.

Iko hivi, teams zote ni nzuri sana, ila ni hivi iwapo Simba ataingia fainali basi atakua bingwa iwapo atakutana na Azam FC ila Yanga akiingia fainali na Azam atapigwa na hata akiingia na Coastal itakua kwa mbinde sanaa. YANGA wako bora sana ila kwao ni ligi si hapa.

Sijongelea sana Coastal Union kwa sababu wanapitwa na Azam ila ukiona wameingia fainali basi watazuiwa na Simba tu kama ni Yanga atatoboka kwa mbinde.
Acha uongo
 
Ngoja kwanza makolo tuwafirimbe leo ndo muwaze kombe
 
Sitikisiki na sipigi ramli.

Iko hivi, teams zote ni nzuri sana, ila ni hivi iwapo Simba ataingia fainali basi atakua bingwa iwapo atakutana na Azam FC ila Yanga akiingia fainali na Azam atapigwa na hata akiingia na Coastal itakua kwa mbinde sanaa. YANGA wako bora sana ila kwao ni ligi si hapa.

Sijongelea sana Coastal Union kwa sababu wanapitwa na Azam ila ukiona wameingia fainali basi watazuiwa na Simba tu kama ni Yanga atatoboka kwa mbinde.
Nakubaliana nawe kabisa.. Kwa Mfano leo SIMBA atashinda kwa ushindi wowote ule
 
Back
Top Bottom