Bingwa wa chemistry na msimamizi wa muda mrefu wa Thaqaafa secondary MADAM OPIYO ameacha kazi Thaqaafa

Bingwa wa chemistry na msimamizi wa muda mrefu wa Thaqaafa secondary MADAM OPIYO ameacha kazi Thaqaafa

jukumulangu

New Member
Joined
Oct 1, 2024
Posts
2
Reaction score
2
Yule mwalimu bingwa wa chemistry madam Opiyo aliyefanya kazi miaka 28 Thaqaafa secondary na kuwapa maendeleo makubwa hatimaye ameacha kazi Thaqaafa secondary.

Wakurugenzi wa shule za Mwanza mtafuteni mama huyu mchapakazi na mwenye msimamo.

Ni mchapakazi haswa wanaomfahamu wanaelewa Nachosema
 
Yule mwalimu bingwa wa chemistry madam Opiyo aliyefanya kazi miaka 28 Thaqaafa secondary na kuwapa maendeleo makubwa hatimaye ameacha kazi Thaqaafa secondary.

Wakurugenzi wa shule za Mwanza mtafuteni mama huyu mchapakazi na mwenye msimamo.

Ni mchapakazi haswa wanaomfahamu wanaelewa Nachosema
Sidhani kama hizi taarifa zina ukweli
 
Back
Top Bottom