Yellow bone
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 256
- 329
Google matumizi yake boss...!
!
Sasa hii ya nini?
Daaah...mkuu..umenifanya nicheke asubh asubhKauze jeshini mkuu au polisi wakaitumie kule kibiti kuwachungulia wale wauaji.
Kokote kule mkuu..iwe angani,mbugani,kwenye magorofa pia ...inavuta sana tukio kias kikubwa...Ya kuchungulia watu kwenye magorofa.. Au kuangalizia wanyama mbugani
!
!
Sasa hii ya nini?
Soma hapo mkuu.. details zote zipo hapo chini kwenye pichaIna night vision?,
inaona umbali gani
200000
Na kuangalizia tochi za trafikiYa kuchungulia wadada bafuni. Au watu wanaofanya matusi
picha nzuri mkuu...tueleweshe uwezo wake unachukua distance ya km ngap?Soma hapo mkuu.. details zote zipo hapo chini kwenye picha
View attachment 533920
Weka namba za simu mkuu nahitaji sana tu kama mbili hivi yangu na ya mke wangu, tuko karibu na uwanja wa mpira na tuko gorofani , nataka kubana matumizi ya kiingilio mkuu.Inauzwa binocular...(darumini.)
Iko safi..bei laki mbili.
Iko na powerful lens kias kikubwa sana..
Made in Germany
Picha natumipia hapo chini
..
Kwa anaView attachment 533917 ehitaji aje inbox ...iko dar es salaam
Nakutumia namba yangu mkuu inbox..thanksWeka namba za simu mkuu nahitaji sana tu kama mbili hivi yangu na ya mke wangu, tuko karibu na uwanja wa mpira na tuko gorofani , nataka kubana matumizi ya kiingilio mkuu.
Mkuu kama unaendesha gar...sehem ambayo unaweza safir kwa masaa 2 mpaka 5 unauwezo wakuona vyema sana sehem hiyo kama umesimama mahal pajuu..hivyo kama ni straight..tuseme umesimama kwenye ghorofa...na pengine unataka uwamulike trafik wa torch km 62 mbele basi you can see them...picha nzuri mkuu...tueleweshe uwezo wake unachukua distance ya km ngap?
Hii ingeweza kunisaidia kazi yangu moja, mikoani unaweza kutumaInauzwa binocular...(darumini.)
Iko safi..bei laki mbili.
Iko na powerful lens kias kikubwa sana..
Made in Germany
Picha natumipia hapo chini
..
Kwa anaView attachment 533917 ehitaji aje inbox ...iko dar es salaam
Sio kila kitu wewe unakazi nacho wenye kazi nayo watafika wataelewana biashara!
!
Sasa hii ya nini?