Bint Makamba

Status
Not open for further replies.
Jamani naomba tuwe griti thinkers tumuache huyu dada na maisha yake

tunajishusha sana
 
<br />
<br />
lol
 
<br />
<br />
nilichosema nguo yake na makeup ilifunka sku hyo,cjaongelea kwa sku nyngne
 
sasa we hapo umeona cha kufagilia? nguo alovaa au urembo wake? naturally she is not beautifl...let us be fair!
<br />
<br />
naongelea alvyopendeza siku hyo,nakuapia alfunika ukumbi mzma
 
Ah hakuna kitu hapo zaidi ya makemikali kujikoboa usoni mpaka mdomoni, uliona wapi mwaafrika kuwa na mdomo mwekundu hivyo? Mh huo mdomo kama nanii
 
Hela zake zote anawekeza kwenye makeup
 
<font size="4">Ah hakuna kitu hapo zaidi ya makemikali kujikoboa usoni mpaka mdomoni, uliona wapi mwaafrika kuwa na mdomo mwekundu hivyo? Mh huo mdomo kama nanii</font>
<br />
<br />
tumesema gaun yake ilifunka,mambo ya midomo hyo lipstk,acha wivu wa kike
 
Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni...Ana umbo zuri sana ambalo wasichana wengi wadogo wameshindwa ku-maintain achilia mbali walioshazaa kama yeye.
 
kumbe ni mjaa mzito awwwwwwww hongera mammy utajifungua lini?
 
Nilifkiri kaachana na mumewe mzungu na sasa ana mume mpya balozi wa Arabuni au kitu kama hicho
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…