Bint mrembo zaidi sijapata kuona AISE MUNGU FUNDi

jamaa kachanganyikiwa na mafuta
 
mungu anajua kuyakatakata maumbo
 
Hadija gani huyo au ndo alipopotelea mheshimiwa diwani?
 
Nimemcheki IG naona anapost yupo Dar, Znz na anasikiliza wimbo wa Utu wa Ali Kiba.
 
Uso na umbo la chini vitu tofauti ,kwa huo uso(kichwa) inaonekana alikuwa na umbo la kawaida ila kuna kitu kafanya hadi anaonekana kama faru
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…