Bint mrembo zaidi sijapata kuona AISE MUNGU FUNDi

Labda hiyo rangi..mengine ni uchafu mtupu fangasi wametia kambi humo.

#MaendeleoHayanaChama
 
Ninayo namba yake mwanzisha uzi unataka?
Ni kapole mstaarabu sana.
Huyo toka udogo wake ni ana kilema cha kufumuka makalio..akiwa dogo tu alikua balaa tena alikua akitaniwa sana na watoto wenzie. Sa hivi anajikubali. Tatizo ana mamiguu manene pia.
 
Hakuna kitu hapo
 
Huyu sio mzuri ila ni mnene. Na unene ndo umekuchanganya
 
Uzuri wake upo machoni mwako, wa kawaida sana...
 
So huoni kwamba Ivo vitu kalibu na hips vimepinda?
 
Mkuu huyo mwanamke ni wa kawaida Sana tu.

Sifa ya kwnza ya mwanamke mrembo awe na mapaja medium size na sio huyo mwenye paja kama mguu wa tembo.

Hakuna utakachopata humo zaidi ya kulemewa na uzito ..

Mwanamke mnene ni usumbufu mtupu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…