Bint yangu anaugonjwa wa ajabu

Kweli hiyo Hysteria.

Inaonekana hajapigwa pipe siku nyingi na anahamu kubwa sana.

Wataalamu wanashauri apate
psychosocial support ikiwezekana wavulana watokee kumtongoza kwa kuzugia(Fake) na wamuahidi kiuongouongo kama watamkamua, unaweza akatulia vizuri kabisa.
 

Navyofahamu counselling hufanywa kwa faragha, una uhakika dokta hafanyi yale yale unayoyakwepa kuwapa dili vijana mtaani?
 
Hivi mkuu Riwa inakuaje anapelekwa hosptali na kuambiwa haumwi chochote? Hawawezi hata kumshauri cha kufanya? Kwamba kwa 'scope' yao hawana uwezo wa kung'amua tatizo, si wangempa 'way foward' badala ya kumwacha arudi nyumbani??

 
Last edited by a moderator:
Jaribu wkend moja mkabidhi kwa kijana yeyote hapo mtaani kwenu (awe rafiki yake) mwambie ampeleke beachau kokote kuzuri wakae huko mpaka jioni.
Akirudi mapepo yote kwishney.
 
Hivi mkuu Riwa inakuaje anapelekwa hosptali na kuambiwa haumwi chochote? Hawawezi hata kumshauri cha kufanya? Kwamba kwa 'scope' yao hawana uwezo wa kung'amua tatizo, si wangempa 'way foward' badala ya kumwacha arudi nyumbani??

RR....we are not saying that it is 'Hysteria', kwa sabau sisi sio tuliomuona mtoto na kuongea naye pia kuongea na wazazi wake, na kisha kumuexamine ili kujiridhisha ni tatizo fulani. Ila kwa maelezo aliyoyatoa Mandown...kuna uwezekano mkubwa ni sexual hysteria.

Magonjwa mengi ya akili huwa hayajionyesho mwilini, na hivyo Daktari anapokuexamine au hata kufany lab tests, hayaonyeshi physical problem. Ndio maana aliambiwa haumwi chochote. Na kuweza kufikiri further na kufikiria vitu kama Hysteria, inategemea na level ya training au specialization ya huyo Daktari anayemuona. Ndio maana unapoona tatizo linakushionda unarefer kwa superior wako maana yeye ana upeo mpana zaiodi. kama uko sehemu ambapo wewe ndio superior na upeo wako umekomea hapo...ni tatizo la health delivery system sasa!
 
Kuna daktari aliwahi kuchambua hili vizuri sana ktk kipindi cha power breakfast clouds fm baada ya watoto watatu kupatwa na tatizo hili wakiwa shuleni ningekumbuka jina lake nadhani ingesaidia kupata number na naamini angekuwa msaada bora kwako. Pole sana Mandown
 
Last edited by a moderator:

hivi dr una namba ya any proffessional counsilor alieko dar?
 
Asante mkuu, ila kumwacha mtu arudi nyumbani wakati anahisi ana tatizo ni failure!
Angalao angeelekezwa sehemu anayoweza kupata huduma stahiki tu!

 
Si bora bujibuji, kuna watu kama mzabzab na Bishanga

Bora akalazwe tu kwa kweli

Hivi tukiacha masihara na utani, mzazi unaweza kweli kumkabidhi binti yako kwa Bujibuji eti anatibiwa na wewe ukae nje unasubiria?

Mola aepushie mbali, matibabu haya yasimkute binti yangu ikanilazimu nijue kuwa saa hii anatibiwa
 
Last edited by a moderator:
Mh pole hii si kawaida
tafuta mwanasaikolojia, au mpeleke kwenye maombi
 
Hii kitu binti akiiendekeza inazaa ugonjwa mwingine unaitwa ATTENTION SEEKING DISORDER.

Kuna msanii mmoja wa kike wa bongo inaitwa Wema Sepetu inasemekana ina hii ugonjwa ila aliiendekeza ikawa Chronic japokuwa ilishapata counsel yakutosha.
Sasa imekuwa ni tabia kwake akikosa dawa tu(Psychological support) anaanza vituko vya ajabu na dawa pekee aliyozoea ni kupigwa pipe tu.
 

Yes, I second what Konnie says, nina tibu huu ugonjwa. . .dawa yake ni ndogo sana it is psychological.
 

Dr Isaac Maro.... www.afyacheck.co.tz
 
RIWA, thanks very much for your advice
 
sisi bwenini walikuwa wanashikwa nao sana hadi masista walikuwa wanazimia
muwekee mafuta ya taa kwenye chakula
muwekee na viparty party acheze na wenzake hata wavulana yaani ajiachieachie afurahi
vacation inahusika kwa kifupi...
ngono no!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…