Joseph Isaack
JF-Expert Member
- Aug 8, 2011
- 450
- 89
Jumamosi 29/09/2012 nilishtuka kuona mambo ya ajabu nyumbani kwangu, kubwa ni la bint yangu wa miaka 16 ambapo amepatwa na ugonjwa wa kucheka hovyo, sasa imefikia hatua ya kuanguka na kuzirai, akizinduka macho hayaoni kwa muda. Hostpitali hawajagundua ugojwa wowote, manake nilidhani anaumwa malaria. Mke wangu na watu wengine wanadai mambo ya kishirikina ambapo siamini hivo. Jana mke wangu alikuta NGUO YAKE YA NDANI chumbani kwetu, na hakuna anayejua imefikaje huko.
- Nahisi anaugonjwa haujagundulika hospitali, haiwezekani mtu uzimie halafu ukizinduka macho yakose kuona, wanapima hawaoni kitu wanampa panadol.
- Nahisi pia anajifanyisha ili asiende shule, lakini hii ni staili ya pekee kumuona hivi, saa nyingine hataki kabisa ka kaa ndani anabaki nje mpaka tumuingize kwa nguvu.
- majirani wana mshawishi mke wangu kuwa amelogwa..! Sasa amelogwa ananini???? kwanini wachawi wasimloge baharesa, ama mengi eli wamwagiwe mapesa, sie mafukara ndio tunalogana!
Wadau naomba ushauri
Aisee kuna watu wanapata majaribu ya kidunia humu sijapata ona
Ngoja wikiend niende bagamoyo kumwangalia mwanangu maana mnenitisha
aiseee shindwa
hiyo hali kitaalam inaitwa hysteria nakushauri umuone daktari wa magonjwa ya akili.jumamosi 29/09/2012 nilishtuka kuona mambo ya ajabu nyumbani kwangu, kubwa ni la bint yangu wa miaka 16 ambapo amepatwa na ugonjwa wa kucheka hovyo, sasa imefikia hatua ya kuanguka na kuzirai, akizinduka macho hayaoni kwa muda. Hostpitali hawajagundua ugojwa wowote, manake nilidhani anaumwa malaria. Mke wangu na watu wengine wanadai mambo ya kishirikina ambapo siamini hivo. Jana mke wangu alikuta nguo yake ya ndani chumbani kwetu, na hakuna anayejua imefikaje huko.
- nahisi anaugonjwa haujagundulika hospitali, haiwezekani mtu uzimie halafu ukizinduka macho yakose kuona, wanapima hawaoni kitu wanampa panadol.
- nahisi pia anajifanyisha ili asiende shule, lakini hii ni staili ya pekee kumuona hivi, saa nyingine hataki kabisa ka kaa ndani anabaki nje mpaka tumuingize kwa nguvu.
- majirani wana mshawishi mke wangu kuwa amelogwa..! sasa amelogwa ananini???? Kwanini wachawi wasimloge baharesa, ama mengi eli wamwagiwe mapesa, sie mafukara ndio tunalogana!
wadau naomba ushauri
Mkuu kama ni kwenye ile shule ya pale msalabani basi tutakutana, na mimi naona niende kumwona binti yangu bana!!!
Jumamosi 29/09/2012 nilishtuka kuona mambo ya ajabu nyumbani kwangu, kubwa ni la bint yangu wa miaka 16 ambapo amepatwa na ugonjwa wa kucheka hovyo, sasa imefikia hatua ya kuanguka na kuzirai, akizinduka macho hayaoni kwa muda. Hostpitali hawajagundua ugojwa wowote, manake nilidhani anaumwa malaria. Mke wangu na watu wengine wanadai mambo ya kishirikina ambapo siamini hivo. Jana mke wangu alikuta NGUO YAKE YA NDANI chumbani kwetu, na hakuna anayejua imefikaje huko.
- Nahisi anaugonjwa haujagundulika hospitali, haiwezekani mtu uzimie halafu ukizinduka macho yakose kuona, wanapima hawaoni kitu wanampa panadol.
- Nahisi pia anajifanyisha ili asiende shule, lakini hii ni staili ya pekee kumuona hivi, saa nyingine hataki kabisa ka kaa ndani anabaki nje mpaka tumuingize kwa nguvu.
- majirani wana mshawishi mke wangu kuwa amelogwa..! Sasa amelogwa ananini???? kwanini wachawi wasimloge baharesa, ama mengi eli wamwagiwe mapesa, sie mafukara ndio tunalogana!
Wadau naomba ushauri
Blood circulation in the blood ndo ugonjwa gani huo ndugu..unaelewa maana y ulichokiandika unajua unamaanisha nn dah utakuwa tiba asilia ww maana nyie kujifanya mnaelezea magonjwa kwa kutumia kiingereza wakati lugha nyingi za kitabibu zinazo taja magonjwa ni za kigiriki na kilatini. hospital gani isiweza kuona cirulation ya blood katka brain na unamaanisha nn haswa au ndo unataka kuelezea kuhusu syncopes au convulsion na hujui nn hapo pole sana.Kuna mawili hapo kama wasemavyo wengi yawezekana ni pepo au kuna tatizo lingine katika mfumo wa damu hili tatizo huwa linawapata watu wengi sana siku hizi hasa wakike na kama halitachukuliwa kwa umakini basi mtu anaweza kupata ukichaa.Mara nyingi huwa damu haifiki kichwani(blood circulation in the brain),huu sio ugonjwa tafadhali ndio mana hata hospitali huwezi kugundulika.kwa maelezo zaidi:0657117377