Binti agundua mpenzi wake ana mahusiano ya kimapenzi na mama yake mzazi

Mvua ya jana imeibua nyuzi nyingi za kunyanduana 😍
 

Mama mubaya
 
Nani anataka tabu...sasa kama mtoto hatoi hela mama anatoa utamu na hela sii bora nitulie na mmma tule maisha
 
Mama mubaya
Alitolewa lock up na kijana mmoja, alipofika nje alikutana mama amepiga bei mali zake nyingi ili aka anza maisha na kijana katika nchi ya mbali.

Tatizo kijana alimuelewa binti kuliko anavyomuelewa mama. Kijans alimpigia chini. Wakati huo huo mtoto wake alimkana.
 
Huku wamezaa kabisa. .so binti ana mtoto wa jamaa na mama pia.KUPANGA NI KUCHAGUA
 
Mtu mzima kukopi vistori vya fb sio poa
 
Haya ndiyo tunaweza kujadili Waafrika hasa waTZ na kuacha kujadili maswala muhimu yenye kutujenga na kutupeleka mbele kimaendeleo

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Haya mimi nahitimisha kwa kusema kwamba hii ni [emoji116][emoji116][emoji116]
 
Imepikwa bila kiungo mwanana!!! any way ngoja nikusaidie hivi si ninawaroga wote wapendane tu wanakuwa wangu!! huyu mwenye mapepe namtuliza na limbwata mahiti kwa hiyo napiga kote kote!!

Dogo anazaa!
mama ananilipa! baasi tena watapendana mnooooo! awaroge tu au ni wewe!
 
Adobe hii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…