Huyu atakuwa anatoka kwa MkwawaWhat a 'bindi [emoji38] [emoji38] [emoji38]
me naishi uswazi,nimepanga geto yenye chumba kimoja tu.sasa kuna binti niliwah kulala nae hapa kwangu akang'atwa balaa na mbu.so tangu siku hiyo nikimuambia aje tena geto anasema anaogopa mbu wa hapa kwangu.nimemuambia siku Ile nilijisahau tu kupiga dawa Lakin haelewi somo.
ifanyaje?
jifanye wewe ndio huyo binti halafu lala kama yeyeme naishi uswazi,nimepanga geto yenye chumba kimoja tu.sasa kuna binti niliwah kulala nae hapa kwangu akang'atwa balaa na mbu.so tangu siku hiyo nikimuambia aje tena geto anasema anaogopa mbu wa hapa kwangu.nimemuambia siku Ile nilijisahau tu kupiga dawa Lakin haelewi somo.
ifanyaje?
me naishi uswazi,nimepanga geto yenye chumba kimoja tu.sasa kuna binti niliwah kulala nae hapa kwangu akang'atwa balaa na mbu.so tangu siku hiyo nikimuambia aje tena geto anasema anaogopa mbu wa hapa kwangu.nimemuambia siku Ile nilijisahau tu kupiga dawa Lakin haelewi somo.
ifanyaje?