sasa umeoa mbona ausemiiii???????mi ntaondoka wajua???
Ever heard of the saying "can't put my finger on it"? That could be it in your situation.
Jamaa hataki kusema kama kaoa au ajaoa mbona kuna ugumu kwa hilo yeye kuweka wazi!
Gaijin; Umesema huyo mtu alikufananisha na akasema alishawahi kukuona mahali. Sasa mimi nimefananishwa na nikahoji kabisa vigezo vilivyotumika hadi nikafananishwa na jibu nililiambulia ni "Sijui" ..... Suala la kwa nini hakuniambia sababu hasa ya kunifananisha, hapo ndipo nahisi kufumbiwa fumbo! Waswahili wanasema fumbo mfumbie mjinga, mwerevu ataling'amua.. Isije ikawa hapa napimwa werevu au ujinga wangu hapa:teeth::teeth:
Nashukuru kwa ushauri mkuu, kwa hiyo wewe ulimpotezea au?
Mimi huyu hajawahi kunililia shida so far na wala hatujawahi kualikana makwetu zaidi ya kukutana kazini labda na mtaani sometimes.
Ila nimependa penye red na nitaufanyia kazi ushauri wako kaka....
Huyu sikumuuliza kanifananisha nini maana sikumuuliza maybe angenambia hajui pia.
Yeye kakumbuka kuwa keshawahi kuniona kwa sababu Mara ya kwanza aliponiona alinifananisha ATI
Unaweza mtu ukamjua miezi na usijue umemfananisha kiti gani hasa kama hamna mazowea.
Besides inaweza kuwa imemclick time hiyo kuwa kakufananisha
Kama ujaoa sasa kama kichwa hicho mzee kimeshaingia chenyewe ! ukikutana nacho kiambie dada yangu yale maneno yako bado nayakumbuka akisema kwanini mwambie hujui kwanini? Siku ipo ataongea ukweli alikuwa anamaanisha nini!
mimi nlimpotezea japo alikuwa mzuri ila mi niliona hatuendani. Ngeweza kufanya lolote ila skupenda kumchezea mana sijawa tayari kwa ndoa,na najua yeye alikuwa akisaka ndoa. Kaka mtu anakuja anakaa kwako leo mpaka usiku,kesho mpaka usiku n.k sasa unategemea nini,ukidhubutu si ndo anafuata mizigo yake nyumbani kwao? Kaka kama uko interested we weka mitego yako akianguka umo ujue wako. Kaka ama huna software ya kutegea?! Hawa ndugu ni weak sana huwezi amini! Unataka software?sema kaka usione noma,kwa sekta hii ata mkuu wa nchi mwenyewe huwa anaitegea sikio labda mapadre tu ndo hawausiki apa!
Wewe kwani mtu akikufananisha ndio anakutaka kimapenzi?tena kakufananisha na kaka yake ina maana muheshimiane kama mtu na dada yake,na je kama angekuwa mwanaume mwenzako kakufananisha na dada yake ungesema anakuta kimapenzi?Wakuu kuna binti ameniambia huwa ananifananisha na kaka yake na nimeshindwa kabisa kumuelewa anamaanisha nini.
Huyu binti tunafanya naye kazi sehemu moja na tuna mazoea ya kawaida kabisa ya kikazi zaidi. Kwa kweli ni binti mzuri na yuko singo. Binafsi sijawahi kumuonesha interest yeyote ingawa wakati mwingine huwa tunakuwa na matani ya hapa na pale (mara nyingine kuhusu mapenzi na maisha). Siku moja nikiwa nataniana naye mara ghafla akabadilisha topiki na kwa sauti ya msisitizo kabisa akaniambia kuwa huwa ananifananisha na kaka yake, nilivyomuuliza kwa nini akasema hata yeye mwenyewe hajui. Sikutaka kuendelea zaidi manake hata mimi nilipigwa na butwaa (kutokana na jinsi alivyosema kimsisitizo), tukaendelea na maongezi mengine.
Baada ya lile tukio huwa mara kwa mara najiuliza kuwa yule binti alikusudia nini, hasa ukizingatia kuwa sikuwahi kutegemea kwamba itafika siku ataniambia maneno hayo (tena kwa jinsi alivyoonesha kumaanisha anachokisema). Kama ameniambia kujilinda zaidi najiuliza kwa nini? wakati sijawahi kuonesha kumtaka? Au matani yangu yanamfanya adhani kuwa namtaka? Kama hakukusudia kujilinda ina maana ndo nimepewa taarifa kuwa milango ipo wazi?
Msaada wandugu!!!
Wewe kwani mtu akikufananisha ndio anakutaka kimapenzi?tena kakufananisha na kaka yake ina maana muheshimiane kama mtu na dada yake,na je kama angekuwa mwanaume mwenzako kakufananisha na dada yake ungesema anakuta kimapenzi?
Wewe kwani mtu akikufananisha ndio anakutaka kimapenzi?tena kakufananisha na kaka yake ina maana muheshimiane kama mtu na dada yake
na je kama angekuwa mwanaume mwenzako kakufananisha na dada yake ungesema anakuta kimapenzi?
Gaijin; kweli?
Nipe somo dada yangu nisijekuwa simtendei haki binti wa watu...
Wakuu kuna binti ameniambia huwa ananifananisha na kaka yake na nimeshindwa kabisa kumuelewa anamaanisha nini.
Huyu binti tunafanya naye kazi sehemu moja na tuna mazoea ya kawaida kabisa ya kikazi zaidi. Kwa kweli ni binti mzuri na yuko singo. Binafsi sijawahi kumuonesha interest yeyote ingawa wakati mwingine huwa tunakuwa na matani ya hapa na pale (mara nyingine kuhusu mapenzi na maisha). Siku moja nikiwa nataniana naye mara ghafla akabadilisha topiki na kwa sauti ya msisitizo kabisa akaniambia kuwa huwa ananifananisha na kaka yake, nilivyomuuliza kwa nini akasema hata yeye mwenyewe hajui. Sikutaka kuendelea zaidi manake hata mimi nilipigwa na butwaa (kutokana na jinsi alivyosema kimsisitizo), tukaendelea na maongezi mengine.
Baada ya lile tukio huwa mara kwa mara najiuliza kuwa yule binti alikusudia nini, hasa ukizingatia kuwa sikuwahi kutegemea kwamba itafika siku ataniambia maneno hayo (tena kwa jinsi alivyoonesha kumaanisha anachokisema). Kama ameniambia kujilinda zaidi najiuliza kwa nini? wakati sijawahi kuonesha kumtaka? Au matani yangu yanamfanya adhani kuwa namtaka? Kama hakukusudia kujilinda ina maana ndo nimepewa taarifa kuwa milango ipo wazi?
Msaada wandugu!!!
Hiyo ni kweli kwa mujibu wa watafiti. Na wanasema inatokea unconsciously.
Watu wana tendency ya kutafuta partners wanaofanana na familia zao au watu waliokuwapo around walipokuwa wadogo
*note: sisemi kuwa huyo kawa attracted na wewe au kila binaadamu akimfananisha binaadamu mwenziwe na familia yake ni kuwa ana sexual feelings.
kwa sisi wataalamu wa fasihi tunasema hicho ni kibuti kitakatifu na cha kidiplomasia , wewe ulishaona wapi dada akaolewa na kaka yake? umepewa cheo cha u kaka ili utulie bana. mdada kaona unampigia misere kidizaini. umeongea kwamba haujaonesha dalili ya kumtaka lakini hayo majokes yako pengine yamempa tafsiri nyengine. karibuni nitaanzisha sredi kule jukwaa la lugha kuelezea matumizi ya neno "kaka", nimeona upo umuhimu huo.
-THE END-
ina maana wewe ni sawa na kaka yake!huwezi kumu approach.ndiyo maana wanaume wengi hawataki salamu ya shikamoo toka kwa mabinti,maana binti ukimuomba atakuambia ninakufananisha au kukuheshimu kama baba au kaka
Amekuona hakuna mwelekeo wowote wa yeye na wewe kuwa wapenzi!!
Kwa maoni yangu binafsi, sina tatizo na ufananisho huo, si kufananishwa tu? mi nilidhani ungeishia hapo kuliko kupeleka mawazo mbali zaidi, kwa mfano, angekuja akaku-kiss shavuni, just a simple kissing, je ungesema anakupenda? au akikukumbatia? mpwa, dalili ya mvua ni mawingu, usilazimishe mvua kuja kabla ya mawingu, yaweza kukuletea aibu! simba mwenda pole.....
kwa sisi wataalamu wa fasihi tunasema hicho ni kibuti kitakatifu na cha kidiplomasia , wewe ulishaona wapi dada akaolewa na kaka yake? umepewa cheo cha u kaka ili utulie bana. mdada kaona unampigia misere kidizaini. umeongea kwamba haujaonesha dalili ya kumtaka lakini hayo majokes yako pengine yamempa tafsiri nyengine. karibuni nitaanzisha sredi kule jukwaa la lugha kuelezea matumizi ya neno "kaka", nimeona upo umuhimu huo.
-THE END-