Binti alituchanganya mimi na classmate wangu, tukampangia tukio

Mkuu Mimi ni yule fundi umeme, jamaa etu aliendelea na demu kimya kimya bila wewe kujua, demu alimwomba jamaa msamaha, alimwambia jamaa kuwa alimpenda sana yeye kuliko wewe, walikuja kuachana baadae kwa sababu nyengine kabisa.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Bongo ukifa kwa stress umejitakia
 
Wewe jamaa willpower ile simulizi yako ya JINSI MLIVYOKOMESHA UHALIFU PALE FOLKLAND YOMBO VITUKA mbona haukuimaliza mpaka leo hii?
 
Ungeoa tu bloo,huyo binti alikuwa anakupenda wewe,hata huyu uliyenae anagongwa tu
 
Mkuu Mimi ni yule fundi umeme, jamaa etu aliendelea na demu kimya kimya bila wewe kujua, demu alimwomba jamaa msamaha, alimwambia jamaa kuwa alimpenda sana yeye kuliko wewe, walikuja kuachana baadae kwa sababu nyengine kabisa.
We jamaa ni mnafiki sana akh 😀😀😀
 
Eti umemkuta dodoma na afya yake,sasa ulitaka kumkuta amekonda??[emoji2][emoji2],sasa inaonesha nyote nyie mlikuwa wezi inaonesha yupo aliyekuwa anampenda kweli ambaye si miongoni mwenu[emoji2]
 
Wewe na huyo jamaa hata muwe na dhambi kuzidi makonda mtaingia mbinguni.kwa maana mmejua kumfunza huku mkirinda hadhi ya mwanamke
 
Mkuu Mimi ni yule fundi umeme, jamaa etu aliendelea na demu kimya kimya bila wewe kujua, demu alimwomba jamaa msamaha, alimwambia jamaa kuwa alimpenda sana yeye kuliko wewe, walikuja kuachana baadae kwa sababu nyengine kabisa.
Mkuu, wewe ndie mtoto wa baba Keagan? Yaani Paulo Makonda?

Au ni mwingine?
 
""Nimekutana naye mwaka jana akiwa na afya njema kabisa mkoani Dodoma japo bado ana aibu ya lile tukio; ameolewa na ni mama wa watoto wawili.""

Kifupi huko Dodoma, Kuna mwamba kaoa MALAYA...

#YNWA
 
Wakubwa eeh!!!habari za kuzama chumvuni sio unyama mjue
 
Umemaliza vema sana. Wengi tulitegemea iishie "nilikutana naye hivi karibuni akiwa amefubaa baada ya jamaa aliyemzalisha kumtelekeza."
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…