Kwanini usimuajiri hapo dukani electronics 2?.Habari wanaJF,
Ni matumaini yangu wote ni wazima wa afya. Nina binti yangu anahitaji kazi yoyote ile. Iwe ya kufanya usafi, hata kuuza duka. Ni binti ambaye yuko sharp sana. Yupo vizuri katika kufanya mahesabu. Na mwepesi wa kufundishika.
Sifa zake:
Umri :- 28
Elimu:- Form 2
Mahali:- anaweza fanya mkoa wowote.
Email:- dukanelectronics2@gmail.com
Asanteni.
Kwa hiyo hiyo ana Cheti cha Form Two??Habari wanaJF,
Ni matumaini yangu wote ni wazima wa afya. Nina binti yangu anahitaji kazi yoyote ile. Iwe ya kufanya usafi, hata kuuza duka. Ni binti ambaye yuko sharp sana. Yupo vizuri katika kufanya mahesabu. Na mwepesi wa kufundishika.
Sifa zake:
Umri :- 28
Elimu:- Form 2
Mahali:- anaweza fanya mkoa wowote.
Email:- dukanelectronics2@gmail.com
Asanteni.