Binti anataka kuharibu penzi la mama yake kwa baba aliyemlea tangu akiwa na miaka 7

Family matters
 
You never know,huenda huyo Bint alishakuwa na uhusiano wa kimapenzi muda mrefu na huyo baba yake wa kufikia.
Bint anataka kulipa fadhila za kusomeshwa mpaka akapata maisha hayo!
Hata hivyo wazo lake la kuwaunganisha tena Wazazi wake ni jambo jema.
Changamoto ni hao watoto wa baba (kwa mke mwingine) na watoto wa mama (kwa baba wa kufikia)!
Hapo kutakuwa na vurugu mechi.
 
Binti atafanikiwa kwa kuwa ana pesa, pesa ina ushawishi.

Je. mme wa huyo mama yake mzazi yuko wapi?

Kwa mm ningekuwa ndiye mama ya binti ningekataa. as there's nothing new under this world
 
Wanawake ni makatili zaidi ya shetani mwenyewe
 
Anataka kuunganisha ndoa ambayo ilishakufa miaka mingi kwa kuua ndoa mbili ambazo zipo hai!
 
Dunia imebadilika sku zote wekeza kwenye chako hawa watoto wa wengne unajitia msamalia unalea unatunza badae anakuja kukugeuka na kua chanzo cha migogoro na mafarakano ktk familia
 
Hadithi yako inatufunza, tuwe makini na watoto wa kuwalea.
 
anajiangalia yeye tu, haoni kwamba kuwaunganisha wazazi wake atakuwa anawadhurumu wadogo zake haki ya malezi ya baba na mama

anataka yeye ndo awe na baba na mama wengine walelewe na mama/baba tu

pumbavu zake
 
huyo mama ndo hana akili.
Mtoto wako anakuamriaje mambo ?
So akute amelelewa na baba mwingine toka ana miaka 7, leo anaweza mpk kujenga nyumba, enheee si ni ndoa ya miaka zaiid ya 15 au 20 hiyo.

UNAWAZAJE HATA KUWAZA eti wazazi wako wavunje ndoa zao ili uwaunganishe?
MXXXIE
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…