Mambo vipi wana JF??!!
Mimi nina Girlfriend wangu nampenda sana, lakini hivi karibuni kametokea kabinti mtaani kwetu kananizimika sana kiasi kwamba kameshindwa kuficha hisia zake kwangu!
Tatizo hiki kibinti kimekuja na OMBI lake kanasema basi NIMPE MIMBA coz anachotaka yeye azae na mimi 2!!!! :mimba:
Wana JF nimpe anachotaka au nimnyime??!! coz wanasema kutoa ni MOYO!!!
Akitokea jamaa naye kamzimikia Girlfriend wako, atake kuzaa naye tu kisha (mwanaume) amchukue mtoto,
Utajiskiaje?
Mambo vipi wana JF??!!
Mimi nina Girlfriend wangu nampenda sana, lakini hivi karibuni kametokea kabinti mtaani kwetu kananizimika sana kiasi kwamba kameshindwa kuficha hisia zake kwangu!
Tatizo hiki kibinti kimekuja na OMBI lake kanasema basi NIMPE MIMBA coz anachotaka yeye azae na mimi 2!!!! :mimba:
Wana JF nimpe anachotaka au nimnyime??!! coz wanasema kutoa ni MOYO!!!
Mambo vipi wana JF??!!
Mimi nina Girlfriend wangu nampenda sana, lakini hivi karibuni kametokea kabinti mtaani kwetu kananizimika sana kiasi kwamba kameshindwa kuficha hisia zake kwangu!
Tatizo hiki kibinti kimekuja na OMBI lake kanasema basi NIMPE MIMBA coz anachotaka yeye azae na mimi 2!!!! :mimba:
Wana JF nimpe anachotaka au nimnyime??!! coz wanasema kutoa ni MOYO!!!
Mambo vipi wana JF??!!
Mimi nina Girlfriend wangu nampenda sana, lakini hivi karibuni kametokea kabinti mtaani kwetu kananizimika sana kiasi kwamba kameshindwa kuficha hisia zake kwangu!
Tatizo hiki kibinti kimekuja na OMBI lake kanasema basi NIMPE MIMBA coz anachotaka yeye azae na mimi 2!!!! :mimba:
Wana JF nimpe anachotaka au nimnyime??!! coz wanasema kutoa ni MOYO!!!
Swali zuri sana. Kamuulize baba yako mzazi anaweza akakusaidia vizuri zaidi. Ukishindwa nenda kwa mchungaji/shekhe atakusaidia.