Binti anatambulika kwa matendo

Omugasi

Member
Joined
May 29, 2009
Posts
37
Reaction score
0
wengi wanachanganya kati ya binti mtulivu na asiyetulia hata chembe.Kwangu mimi binti anaweza akawa mkimya lakini limbukeni wa wanaume yaani hachagui 'size'. Lakini yupo yule mwongeaji asiye na aibu hata ya kumkatalia mwanaume usoni.. ndiye akawa binti safi.Ninachosema kusema siyo kutenda au kumaanisha.. mnaonaje wadau?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…