Binti aomba msaada aendelee na masomo kidato cha tano

Utachanga wewe ama sifa za kijinga tu unatafuta, hakuna na hayupo Mtanzania mwenye hekima ya kuchangia elimu hayupo. Tembelea vijijini ujionee Mkurugenzi anatembelea V8 lakini kuna watoto wanakaa chini.
Yupo mimi nimeshangia pamoja na umasikini wangu, kutoa sio utajiri au kwa matajiri tu
 
Mkuu, mimi Nitachanga na nitaongea na mama yake kwa simu
 
Hizo number zjekuwa na walengwa tofauti na huyo Dada
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…